Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOURINHO YUPO TAYARI KUIFUNDISHA UNITED HATA LEO KAMA MOYES AKIFUKUZWA

Kocha wa Man United, David Moyes (kushoto) na Jose Mourinho (kulia). LONDON, England
MARA baada ya Kocha Sir Alex Ferguson wa Manchester United kutangaza kuwa atastaafu kufundisha soka, majina mengi ya makocha watakaochukua nafasi yake yalitajwa. Jose Mourinho ambaye kipindi hicho alikuwa akiinoa Real Madrid, alikuwa mmoja wa waliotajwa kwa wingi.
 
Bahati haikuwa yake, Kocha David Moyes aliyekuwa Everton akapata nafasi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Ommy Dimpoz: Niko Tayari Kuoa Hata Sasa,Kama Nikipata…

Staa wa Bongo Fleva,Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema kuwa yuko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yake.

Ommy Dimpoz

Ommy Dimpoz akiwa na Mrembo

Ommy ameyazungumza hayo wakati akiitambulisha video ya ngoma yake mpya iitwayo ‘Achia Bodi’ kwenye kipindi cha Clouds360  cha Clouds Tv wakati alipoulizwa na mtangazaji kipindi hicho Hudson Kamoga kuwa anatarajia kuoa lini.

“Niko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yangu” Ommy Dimpoz.

Miezi ya hivi...

 

9 years ago

Mtanzania

Jose Mourinho ataka kuifundisha Arsenal

MourinhoLONDON, ENGLAND

KOCHA wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho amesema hana mpango wa kuondoka jiji la London na kama akiondoka katika klabu hiyo basi atajiunga na klabu ya Arsenal ya jijini humo.

Kocha huyo bado ana imani ya kuendelea kuifundisha Chelsea kwa muda mrefu, japokuwa klabu hiyo imeanza vibaya katika michuano ya Ligi Kuu nchini England, hata hivyo, anaamini kuwa anaweza kuwa kocha wa Arsenal baada ya Arsene Wenger kuondoka.

“Ngoja niweke wazi, ipo siku nitakuja kuondoka Chelsea na kama...

 

9 years ago

MillardAyo

Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka …

Headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kukaribia kujiunga na klabu ya Manchester United bado zinazidi kushika kasi sehemu mbalimblia, kwa wapenzi na mashabiki wa soka duniani kote kwa sasa vijiwe vyao mara nyingi mada kuu ni Louis van Gaal na Jose Mourinho. December 25 Mtu wangu wa nguvu nimekutana na list kutoka sokka.com ya wachezaji watano wa […]

The post Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka … appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Mourinho: Abramovich yupo pamoja na mimi

2F2BB2CC00000578-3350987-image-a-18_1449580241332

Kocha wa Mabingwa watetezi wa ligi ya England Chelsea Jose Mourinho amesema mmiliki wa klabu hiyo Roman Abramovich yuko pamoja nae licha ya msimu mbovu wa mabingwa hao wa England.

2F2BB2CC00000578-3350987-image-a-18_1449580241332

Hadi sasa Chelsea wapo nafasi ya 14 kwenye Ligi Kuu England baada ya kupoteza Mechi 8 za Ligi kati ya 15. Leo Jumatano Desemba 9 wanacheza Mechi ya mwisho ya Kundi lao na FC Porto wakihitaji Sare tu au ushindi ili kusongambele.

Akiongea kuhusu kuelekea Mechi ya UCL, Mourinho, alipoulizwa kama atabakishwa kama...

 

10 years ago

Habarileo

Wakili: Gwajima yupo tayari kwa mahojiano

Josephat GwajimaMAHOJIANO baina ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na Polisi yanatarajiwa kuendelea leo katika Kituo Kikuu cha Polisi, jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

MOYES ATIMULIWA NA MAN UNITED

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Man United, David Moyes. Kocha wa klabu ya Manchester United David Moyes ametumiliwa. Taarifa zaidi zinakujia hivi punde!

 

9 years ago

GPL

KHADIJA KOPA SASA YUPO TAYARI KUOLEWA TENA

Mwandishi wetu Kutoka moyoni! Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki na Kati, Khadija Omary Kopa ‘Da’ Khadija’ amefunguka la moyoni kwamba sasa yupo tayari kuolewa tena iwapo atatokea mwanaume mwenye vigezo anavyovihitaji..  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1NcDKNB

 

11 years ago

GPL

MAN CITY YAIFUMUA MOYES UNITED

Wachezaji wa Man Utd hoi baada ya kipigo. MANCHESTER, England
MBIO za ubingwa katika Ligi Kuu ya England ‘Premiership’ zinazidi kukolea, baada ya Manchester City kuipa kipigo Manchester United mabao 3-0.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani