MOYES ATIMULIWA NA MAN UNITED
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Man United, David Moyes. Kocha wa klabu ya Manchester United David Moyes ametumiliwa. Taarifa zaidi zinakujia hivi punde!
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
David Moyes atimuliwa rasmi na Manchester United
Moyes amekuwa na Man U kwa miezi kumi pekee
Na Mwandishi Wetu
MKUFUNZI Mkuu na Meneja wa Klabu kongwe duniani Manchester United David Moyes ametimuliwa rasmi na klabu kutokana na kufanya vibaya baada ya kushikilia usukani wa klabu hiyo kwa miezi kumi tu.
Klabu hiyo hapo awali ilikuwa imekataa kuzungumzia udaku wa magazeti ya Uingereza kwamba Moyes atafutwa kazi kabla ya msimu kumalizika mwaka huu.
Moyes, mwenye umri wa miaka 50, aliteuliwa na Ferguson kumrithi alipostaafu mwaka jana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQL3jyl95Qk3d4I7NC5HDbtPwPZkAjqr8ZpwN3xcOkvWpoFs87lo*de8Q3VukcaJbmyMpI0GMzXWukVbzBXXZbON/2.jpg?width=650)
MAN CITY YAIFUMUA MOYES UNITED
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
David Moyes atimuliwa na Manchester U
9 years ago
Bongo510 Nov
David Moyes atimuliwa kama kocha wa Real Sociedad
![Moyes2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Moyes2-300x194.jpg)
David Moyes ametimuliwa kama kocha wa klabu ya Real Sociedad ya Hispania, mwaka mmoja baada ya kuinoa.
Kocha huyo mwenye miaka 52 aliyefanya timu yake imalize msimu uliopita wa ligi ya La Liga katika nafasi ya 12, alijiunga nayo November 2014.
Maelezo kutoka Sociedad yamedai kuwa imeamua kuusitisha mkataba wa Moyes. Kocha msaidizi, Billy McKinlay naye amefungashiwa virago.
Moyes alichukuliwa na Sociedad baada ya kutimuliwa kama kocha wa Manchester United April 2014.
Jiunge na Bongo5.com...
10 years ago
TheCitizen20 Oct
Manchester United were wrong to sack me, says Moyes