Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOYES ATIMULIWA NA MAN UNITED

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Man United, David Moyes. Kocha wa klabu ya Manchester United David Moyes ametumiliwa. Taarifa zaidi zinakujia hivi punde!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

David Moyes atimuliwa rasmi na Manchester United

_67490240_165110124

 

Moyes amekuwa na Man U kwa miezi kumi pekee

Na Mwandishi Wetu

MKUFUNZI Mkuu na Meneja wa Klabu kongwe duniani Manchester United David Moyes ametimuliwa rasmi na klabu kutokana na kufanya vibaya baada ya kushikilia usukani wa klabu hiyo kwa miezi kumi tu.  

Klabu hiyo hapo awali ilikuwa imekataa kuzungumzia udaku wa magazeti ya Uingereza kwamba Moyes atafutwa kazi kabla ya msimu kumalizika mwaka huu.

Moyes, mwenye umri wa miaka 50, aliteuliwa na Ferguson kumrithi alipostaafu mwaka jana...

 

11 years ago

GPL

MAN CITY YAIFUMUA MOYES UNITED

Wachezaji wa Man Utd hoi baada ya kipigo. MANCHESTER, England
MBIO za ubingwa katika Ligi Kuu ya England ‘Premiership’ zinazidi kukolea, baada ya Manchester City kuipa kipigo Manchester United mabao 3-0.…

 

11 years ago

BBCSwahili

David Moyes atimuliwa na Manchester U

Mkufunzi mkuu na meneja wa klabu ya Manchester United David Moyes ametimuliwa baada ya kushikilia usukani kwa miezi 10

 

9 years ago

Bongo5

David Moyes atimuliwa kama kocha wa Real Sociedad

Moyes2

David Moyes ametimuliwa kama kocha wa klabu ya Real Sociedad ya Hispania, mwaka mmoja baada ya kuinoa.

Moyes2

Kocha huyo mwenye miaka 52 aliyefanya timu yake imalize msimu uliopita wa ligi ya La Liga katika nafasi ya 12, alijiunga nayo November 2014.

Maelezo kutoka Sociedad yamedai kuwa imeamua kuusitisha mkataba wa Moyes. Kocha msaidizi, Billy McKinlay naye amefungashiwa virago.

Moyes alichukuliwa na Sociedad baada ya kutimuliwa kama kocha wa Manchester United April 2014.

Jiunge na Bongo5.com...

 

10 years ago

TheCitizen

Manchester United were wrong to sack me, says Moyes

David Moyes claims Manchester United failed to do the right thing when they sacked him after less than 10 months.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani