Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


David Moyes atimuliwa rasmi na Manchester United

_67490240_165110124

 

Moyes amekuwa na Man U kwa miezi kumi pekee

Na Mwandishi Wetu

MKUFUNZI Mkuu na Meneja wa Klabu kongwe duniani Manchester United David Moyes ametimuliwa rasmi na klabu kutokana na kufanya vibaya baada ya kushikilia usukani wa klabu hiyo kwa miezi kumi tu.  

Klabu hiyo hapo awali ilikuwa imekataa kuzungumzia udaku wa magazeti ya Uingereza kwamba Moyes atafutwa kazi kabla ya msimu kumalizika mwaka huu.

Moyes, mwenye umri wa miaka 50, aliteuliwa na Ferguson kumrithi alipostaafu mwaka jana...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

David Moyes atimuliwa na Manchester U

Mkufunzi mkuu na meneja wa klabu ya Manchester United David Moyes ametimuliwa baada ya kushikilia usukani kwa miezi 10

 

11 years ago

Michuzi

David Moyes: Manchester United 'no comment' on boss reports

Moyes and Manchester United's turbulent season21 April 2014
Manchester United say David Moyes has not been sacked but declined to comment when asked about the manager's longer-term future.
National newspapers say the club will dispense with the Scot's services following a poor season. However a United spokesperson would only confirm Moyes has not been sacked. When pressed on whether the manager would leave before the end of the season, the spokesperson added, "we do not comment on speculation". None of the newspapers are...

 

9 years ago

Bongo5

David Moyes atimuliwa kama kocha wa Real Sociedad

Moyes2

David Moyes ametimuliwa kama kocha wa klabu ya Real Sociedad ya Hispania, mwaka mmoja baada ya kuinoa.

Moyes2

Kocha huyo mwenye miaka 52 aliyefanya timu yake imalize msimu uliopita wa ligi ya La Liga katika nafasi ya 12, alijiunga nayo November 2014.

Maelezo kutoka Sociedad yamedai kuwa imeamua kuusitisha mkataba wa Moyes. Kocha msaidizi, Billy McKinlay naye amefungashiwa virago.

Moyes alichukuliwa na Sociedad baada ya kutimuliwa kama kocha wa Manchester United April 2014.

Jiunge na Bongo5.com...

 

11 years ago

GPL

MOYES ATIMULIWA NA MAN UNITED

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Man United, David Moyes. Kocha wa klabu ya Manchester United David Moyes ametumiliwa. Taarifa zaidi zinakujia hivi punde!

 

11 years ago

BBCSwahili

Moyes:Manchester United haina habati

Meneja wa Man United David Moyes anahisi kuwa klabu yake isingekosa bahati hivyo kiasi cha kupata kichapo cha 2-1 dhidi ya Stoke

 

10 years ago

TheCitizen

Manchester United were wrong to sack me, says Moyes

David Moyes claims Manchester United failed to do the right thing when they sacked him after less than 10 months.

 

11 years ago

GPL

BARUA YA WAZI YA MOYES KWENDA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED

Kocha wa Manchester United, David Moyes. Kocha wa Manchester United David Moyes ameandika barua ya wazi kwa mashabiki wa klabu hiyo akielezea kwamba msimu wake wa kwanza ndani ya klabu umekuwa m'bovu zaidi kuliko ilivyotegemewa. Akiwasifu mashabiki kwa uvumilivu wao, Mscotish ambaye aliteuliwa na Sir Alex Ferguson, amekiri kwamba matokeo yao mabovu yamemshangaza mpaka yeye lakini ana uhakika kila kitu kitakaa sawa mbeleni....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani