Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ommy Dimpoz amuongeza Abby kwenye management yake, sasa ana mameneja wawili

Ni jambo la kawaida kwa msanii yeyote duniani kuwa na mameneja wengi ambao wanakuwa na majukumu tofauti, kwa lengo moja la kuhakikisha kazi za msanii husika zinafanikiwa kwa kiasi kikubwa. Abby na Ommy Dimpoz Ommy Dimpoz pia amechukua uamuzi wa kumuongeza mtangazaji wa Choice Fm, Abby Plaatjes kwenye management yake, ambaye sasa ataungana na meneja […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ana nyimbo za albamu tatu ndani – Meneja

Ommy

Ommy Dimpoz ana nyimbo nyingi ndani zinazoweza kufikisha takriban albamu tatu.

Ommy

Akizungumza na Bongo5 Jumamosi iliyopita kwenye uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya, Achia Body, meneja wake, Mubenga, alisema mpaka sasa tayari wamesharekodi nyimbo nyingi ambazo zinasubiri muda wake tu.

“Sisi hatupaniki, tunaangalia target zetu kwenye muziki,” alisema. “Tunajiuliza sasa hivi inafaa kutoa ngoma? Kwa sababu ngoma tunazo, Ommy ana nyimbo kama albamu tatu, zingine hadi mimi nimeshazizoea naziona....

 

10 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ana jibu la waliomponda kuwa anarudia suti za kuvaa

Fid Q aliwahi kusema ‘uspastaa ni mzigo wa miiba’ na pengine huu wa Ommy Dimpoz umekuwa mzito kiasi cha kuamua kuzungumza. Apparently wabongo wanahisi suti aliyoivaa kwenye shooting ya wimbo alioshirikishwa na Avril, ‘Hello Baby’, ndio ile ile aliyoivaa kwenye video ya wimbo wa Diamond f/ Iyanya’ Bum Bum. Kuthibitisha kuwa hizo ni suti mbili […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Le Projectii:Wema Sasa Ampikia na Kumpakulia Ommy Dimpoz

Wakati mwanamziki wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz akiendelea kupepesa macho na kutikisa masikio kukanusha kuwa hana mahusiano ya kimapenzi na mwingizaji wa Bongo Movie, Wema Sepetu ukaribu wao bado unatia mashaka na kuendeleza sintofahamu miongoni mwa mashabiki na wapambe wao.

Japo kuwa Ommy alielezakuwa yeye na Wema ni marafiki toka kitambo kabla hata ya wema kuwa na mahusiano na mwanamziki Diamond, lakini  hii imezidiii.

Mbali na kuonekana wawili hawa kuwa pamoja sehemu mablimbali za starehe...

 

9 years ago

Global Publishers

Ommy Dimpoz afanikisha uzinduzi wa video yake

1Ommy Dimpoz akiongea jambo wakati wa sherehe za uzinduzi wa video ya wimbo huo.

2Mrembo aliyewahi kushiriki kwenye Big Brother Africa enzi hizo Abby akimpa kampani Ommy Dimpoz kwa kucheza kwenye uzinduzi huo.

3Vanessa Mdee akiwa kwenye pozi mara baada ya kuwasili ukumbini hapo.

4Wasanii wa Bongo Fleva Joh Makini na Ben Pol wakiwasili ukumbini hapo.

5Baadhi ya warembo waliojitokeza kushuhudia uzinduzi huo wakiwa katika pozi.

6Christian Bella akiimba kwenye uzinduzi huo

7Mtangazaji wa Clouds...

 

9 years ago

Bongo Movies

Ommy Dimpoz: Niko Tayari Kuoa Hata Sasa,Kama Nikipata…

Staa wa Bongo Fleva,Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema kuwa yuko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yake.

Ommy Dimpoz

Ommy Dimpoz akiwa na Mrembo

Ommy ameyazungumza hayo wakati akiitambulisha video ya ngoma yake mpya iitwayo ‘Achia Bodi’ kwenye kipindi cha Clouds360  cha Clouds Tv wakati alipoulizwa na mtangazaji kipindi hicho Hudson Kamoga kuwa anatarajia kuoa lini.

“Niko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yangu” Ommy Dimpoz.

Miezi ya hivi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ommy Dimpoz: Inzi Kufa Kwenye Kidonda Sio Ufala....

Japokuwa bado kuna baadhi ya watu hawaamini kuwa mwigizaji Wema Sepetu yupo kwenye mahusiano ya kimapezi na mwanamziki Ommy Dimpoz, eti wana-shoot video!!, sasa ukweli unazidi kujitokeza siku hadi siku.

Siku ya jana msanii Ommy Dimpoz alitupia picha hiyo hapo juu kwenye ukursa wake  kwenye mtandao wa Instagram, na kuandika kipande cha maneno kutoka kwenye moja ya nyimbo za Yamoto Band.

“Inzi kufia kwenye kidonda sio ufala ila kapenda......”

Haikuishia hapo, muda kidogo akatupia kipande...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Ommy Dimpoz aanza ziara yake ya kufunga mwaka Kenya kwa kishindo

ommy-1

Ommy Dimpoz yuko nchini Kenya ambako weekend iliyopita ameanza ziara yake ya kufunga mwaka nchini humo, kwa kufanya show ya kwanza ambayo imekuwa ‘soldout’.

ommy-1

Omary Nyembo aka Mr PKP alitumbuiza siku ya Jumamosi (Nov 28) kwenye county ya Turkana karibu na mpaka wa Sudan, ambako anasema wasanii ambao hupata nafasi ya kuitwa kutumbiza huko ni wale ambao wamehit sana.

Kwenye Ziara hiyo Dimpoz anatarajia kufanya jumla ya show 7.

ommy-6

Hizi ni picha za show ya Turkana

ommy-5

ommy-2

ommy-3

ommy-4

Jiunge na Bongo5.com...

 

10 years ago

Bongo5

Wanjera ya Ommy Dimpoz yaingia kwenye chart ya muziki wa Afrika ya MTV Base

Video ya wimbo wa Ommy Dimpoz, ‘Wanjera’ imeingia kwenye chart ya muziki wa Afrika ya kituo cha runinga cha MTV Base. Chart hiyo ya nyimbo 10 inajulikana kwa jina la ‘Official African Chart’. Wanjera imekamata nafasi ya 09 wiki hii. Video hiyo ilifanyika nchini Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather. Wema Sepetu na Idris Sultan […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani