Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM sasa yatapatapa kama mfa maji!

AKIWA katika ziara ya kujua matatizo ya wananchi wa maeneo mbalimbali nchini, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amefichua utendaji mbovu wa watumishi wa serikali inayoongozwa na chama chake. Hayo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA

Na Haji KomboWakati homa ya uchaguzi ikiwa inazidi kupanda nchini Tanzania, huku Khatamu za Uongozi zikiwa zinateleza mikononi mwa Chama Tawala cha Mapinduzi (CCM) kilizokuwa kikizishikilia kwa zaidi ya miaka 50 sasa, viongozi wa chama hicho wamekuwa wakikuna vichwa na kujaribu kuleta fikra mpya za kukinusuru Chama chao kisisambaratike.Ni wazi kabisa kuwa CCM imo katika pumzi zake za mwisho, na kama methali ya Kiswahili isemavyo, "Mfa maji haachi kutapatapa". Maana ya methali hiyo inaonekana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM sasa kama mnara wa Babel

SAS ni dhahiri kwamba mwelekeo wa nchi yetu umetufikisha mahali pabaya. Haya tumeyasema, tumeyaandika, wengine tumeyahubiri, lakini serikali yetu tukufu ya CCM haisikiii. Mara nyingi kwa watu kama hao imeona...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAGUA MIRADI YA MAJI TAKA NA MAJI SAFI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA LEO.

Mkurugenzi wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa, Antipas Shirima akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana kuhusu ujenzi wa tanki la lita milioni moja za majisafi linalojengwa katika mradi wa SUWASA unaotarajiwa kumalizika Machi 7, mwakani (2015). Mradi huo mpaka unakamilika utagharimu kiasi cha fedha shilingi Bilioni 30.Pamooja na kutembelea mradii wa maji safi,Kinana pia alitembelea mradi wa maji taka wilayani humo mapema leo.Ndugu Kinana...

 

9 years ago

Habarileo

Kamati ya maji Matarawe yatakiwa kujipima kama inafaa

DIWANI wa kata ya Matarawe mjini hapa Leonard Robert aliitaka kamati ya maji katika kitongoji cha Lulambo na Kipika kujipima kama inatosha vinginevyo wananchi waiadhibu kwa kuchagua kamati nyingine inayoweza kwenda na kasi ya ‘Hapa Kazi Tu’ .

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)

Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]

The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Maduka Kariakoo sasa biashara kama kawaida

Hatimaye wafanyabiashara wa Kariakoo wamefungua maduka yao baada ya kufikiwa makubaliano kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) ya kuunda kamati ya pamoja itakayoshughulikia matatizo yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu za uhaba wa maji sasa zatajwa

Utafiti wa Shirika la Twaweza umebainisha kuwa kati ya mwaka 1990 na 2011, hali ya upatikanaji wa huduma ya maji ulishuka kutoka asilimia 55 hadi kufikia asiliamia 53.

 

10 years ago

GPL

MCHUNGAJI AFARIKI AKIJARUBU KUTEMBEA JUU YA MAJI KAMA YESU

Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele akizama alipojaribu kutembea juu ya maji kama Yesu .…

 

9 years ago

Global Publishers

Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa

Oprah-Winfrey3OPRAH WINFREY.

Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.

Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”

Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani