Sababu za uhaba wa maji sasa zatajwa
Utafiti wa Shirika la Twaweza umebainisha kuwa kati ya mwaka 1990 na 2011, hali ya upatikanaji wa huduma ya maji ulishuka kutoka asilimia 55 hadi kufikia asiliamia 53.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Sababu za wananchi kutopiga kura zatajwa
CHANGAMOTO zinazowakabili wananchi kutopatiwa ufumbuzi ama kupewa kipaumbele na viongozi wa kisiasa zimeelezwa kuwa chanzo cha wananchi kususia uchaguzi na kuendelea na shughuli zao za kila siku. Hayo yameelezwa jana...
10 years ago
Habarileo20 Jun
Sababu vifo vya wajawazito zatajwa
UKOSEFU wa nyumba za watumishi katika Sekta ya Afya hasa maeneo yenye miundombinu duni ya usafiri kunakofanya watumishi kushindwa kukaa katika maeneo hayo, kumetajwa kuwa ni moja ya mambo yanayochangia kuongeza vifo vya wajawazito na watoto.
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Sababu zinazoua soko nchini zatajwa
11 years ago
BBCSwahili28 Feb
Uhaba wa chakula. Sababu? Wewe
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Uhaba wa maji TZ
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
UHABA WA MAJI ILULA WAWATESA WANANCHI
9 years ago
MichuziWANANCHI WA NGORONGORO WANAKABILIWA NA UHABA WA MAJI
Na Woinde Shizza,Arusha WANANCHI wa Kijiji cha Nayobi kilichopo tarafa ya Ngorongoro wilayaniNgorongoro mkoani Arusha wamelalamikia kero ya uhaba wa majiinayowasababishia kukesha kwenye bomba la kijiji kwa takribani siku tatuwakisubiri maji jambo linalopelekea shughuli za kijamii na kiuchumikusimama kwa muda mrefu na kinamama kutembea umbali mrefu wakitafuta...
9 years ago
VijimamboWANANCHI WA NGORONGORO WANAKABILIWA NA UHABA WA MAJI
Na Ferdinand Shayo, Arusha.
Wananchi wa Kijiji cha Nayobi kilichopo tarafa ya Ngorongoro wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wamelalamikia kero ya uhaba wa maji inayowasababishia kukesha kwenye bomba la kijiji kwa takribani siku tatu wakisubiri maji jambo linalopelekea shughuli za kijamii na kiuchumi kusimama kwa muda mrefu na kinamama kutembea umbali mrefu...
9 years ago
Dewji Blog13 Oct
Wilaya ya Simanjaro yakabiliwa na uhaba wa maji
Mgombea wa jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole Milya.
Na Woinde Shizza, Arusha
Licha ya uwepo wa madini ya Tanzanite katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara bado wilaya hiyo inakabiliwa na uhaba wa maji, ubovu wa miundombinu ya barabara pamoja na ukosefu wa huduma za afya kwenye baadhi ya vijiji .
Akizungumza katika mkutano wa Kampeni,Mgombea wa jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole Milya amesema kuwa iwapo UKAWA wataingia madarakani watatunga sheria za...