Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wilaya ya Simanjaro yakabiliwa na uhaba wa maji

SAM_2870_thumb[2]

Mgombea wa jimbo la  Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole Milya.

Na Woinde Shizza, Arusha

Licha ya uwepo wa madini ya Tanzanite katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara bado wilaya hiyo inakabiliwa na uhaba wa maji, ubovu wa miundombinu ya barabara  pamoja na ukosefu wa huduma za afya  kwenye baadhi ya vijiji .

Akizungumza katika mkutano wa Kampeni,Mgombea wa jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole  Milya amesema kuwa iwapo UKAWA wataingia madarakani watatunga sheria za...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Sekta ya anga yakabiliwa na uhaba wa wafanyakazi


NA MWANDISHI WETU
MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA),  imetoa wito kwa wanafunzi wote nchini kusoma masomo yatakayowawezesha kufanya kazi katika sekta ya anga.
Imeelezwa kuwa sekta hiyo hivi sasa inakabiliwa na uhaba mkubwa wa wataalam.
Rai hiyo ilitolewa jana na Mwanasheria Mkuu wa TAA, Wakili, Ramadhani Maleta alipokuwa akihutubia katika mahafali ya nne ya Shule ya Sekondari ya Lilian Kibo, Goba Matosa, Dar es Salaam.
Maleta alisema ni aibu kwa  mamlaka kuajiri wataalam kutoka nje...

 

9 years ago

Habarileo

Muhimbili yakabiliwa na uhaba vyumba vya `ICU’

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam inakabiliwa na uhaba wa wadi za wagonjwa mahututi (ICU) kutokana na mahitaji ya huduma hiyo kwa wagonjwa hospitalini hapo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yakabiliwa uhaba wa madaktari wa vichwa vikubwa

TANZANIA inakabiliwa na upungufu wa wataalam wa upasuaji kwa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi ambapo kwa sasa ina madaktari watano ambao wanazunguka katika hospitali za rufaa nchini kutibu....

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhaba wa maji TZ

Haba na Haba Tv ilisafiri mpaka mkoani Tanga wilayani pangani kuona namna wananchi wa huko wanavyohangaika kila kuchao kutafuta maji.

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu za uhaba wa maji sasa zatajwa

Utafiti wa Shirika la Twaweza umebainisha kuwa kati ya mwaka 1990 na 2011, hali ya upatikanaji wa huduma ya maji ulishuka kutoka asilimia 55 hadi kufikia asiliamia 53.

 

9 years ago

Vijimambo

WANANCHI WA NGORONGORO WANAKABILIWA NA UHABA WA MAJI

Wananchi wa kijiji cha Naiyobi wilaya ya Ngorongoro wakichota maji ambayo hutumia na mifugo kijiji hicho kinakabiliwa na uhaba wa maji.
Na Ferdinand Shayo, Arusha.
Wananchi wa Kijiji cha Nayobi  kilichopo tarafa ya Ngorongoro wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wamelalamikia kero ya uhaba wa maji inayowasababishia kukesha kwenye bomba la kijiji kwa takribani siku tatu wakisubiri maji jambo linalopelekea shughuli za kijamii na kiuchumi kusimama kwa muda mrefu na kinamama kutembea umbali mrefu...

 

10 years ago

KwanzaJamii

UHABA WA MAJI ILULA WAWATESA WANANCHI

Na Zainab Maeda, Iringa Maji ni uhai na maji yana matumizi mengi katika maisha ya kila siku ya binadamu, wanyama na hata viumbe vingine hai, ikiwemo mimea. Lakini kwa wakazi wa Mji Mdogo wa Ilula uliopo Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, upatikanaji wa maji kwao ni kitendawili cha miaka mingi sasa kwani ni tatizo sugu. Ilula ni mji unaosifika kwa biashara mbalimbali hususan zao la nyanya na vitunguu, hali inayoufanya uwe na mkusanyiko mkubwa wa watu kutoka maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya...

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WA NGORONGORO WANAKABILIWA NA UHABA WA MAJI

Wananchi wa kijiji cha Naiyobi wilaya ya Ngorongoro wakichota maji ambayo hutumia na mifugo kijiji hicho kinakabiliwa na uhaba wa maji
Na Woinde Shizza,Arusha WANANCHI wa Kijiji cha Nayobi  kilichopo tarafa ya Ngorongoro wilayaniNgorongoro mkoani Arusha wamelalamikia kero ya uhaba wa majiinayowasababishia kukesha kwenye bomba la kijiji kwa takribani siku tatuwakisubiri maji jambo linalopelekea shughuli za kijamii na kiuchumikusimama kwa muda mrefu na kinamama kutembea umbali mrefu wakitafuta...

 

10 years ago

Habarileo

Bilioni 800/- kukabili uhaba wa maji Chalinze

Ridhiwani KikweteCHANGAMOTO ya maji wilayani Bagamoyo mkoani Pwani huenda ikawa historia baada ya serikali ya India kutoa kiasi cha Sh bilioni 800 kwa ajili ya mradi wa maji wa Wami Chalinze.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani