Muhimbili yakabiliwa na uhaba vyumba vya `ICU’
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam inakabiliwa na uhaba wa wadi za wagonjwa mahututi (ICU) kutokana na mahitaji ya huduma hiyo kwa wagonjwa hospitalini hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Oct
Wilaya ya Simanjaro yakabiliwa na uhaba wa maji
Mgombea wa jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole Milya.
Na Woinde Shizza, Arusha
Licha ya uwepo wa madini ya Tanzanite katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara bado wilaya hiyo inakabiliwa na uhaba wa maji, ubovu wa miundombinu ya barabara pamoja na ukosefu wa huduma za afya kwenye baadhi ya vijiji .
Akizungumza katika mkutano wa Kampeni,Mgombea wa jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole Milya amesema kuwa iwapo UKAWA wataingia madarakani watatunga sheria za...
11 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Sekta ya anga yakabiliwa na uhaba wa wafanyakazi
NA MWANDISHI WETU
MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imetoa wito kwa wanafunzi wote nchini kusoma masomo yatakayowawezesha kufanya kazi katika sekta ya anga.
Imeelezwa kuwa sekta hiyo hivi sasa inakabiliwa na uhaba mkubwa wa wataalam.
Rai hiyo ilitolewa jana na Mwanasheria Mkuu wa TAA, Wakili, Ramadhani Maleta alipokuwa akihutubia katika mahafali ya nne ya Shule ya Sekondari ya Lilian Kibo, Goba Matosa, Dar es Salaam.
Maleta alisema ni aibu kwa mamlaka kuajiri wataalam kutoka nje...
11 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Tanzania yakabiliwa uhaba wa madaktari wa vichwa vikubwa
TANZANIA inakabiliwa na upungufu wa wataalam wa upasuaji kwa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi ambapo kwa sasa ina madaktari watano ambao wanazunguka katika hospitali za rufaa nchini kutibu....
10 years ago
Mtanzania12 May
Muhimbili yakumbwa na uhaba wa damu
NA TUNU NASSOR , DAR ES SALAAM
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imekumbwa na uhaba wa damu hali ambayo imeulazimu uongozi wa hospitali hiyo kuomba msaada wa dharura kwa Serikali na watu binafsi.
Uongozi huo pia umewaomba Watanzania, mashirika ya umma, makampuni na watu binafsi kujitokeza kusaidia kuchangia damu kuokoa maisha ya wagonjwa wanaopelekwa katika hospitali hiyo.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja, Aminiel Aligaesha, ilieleza kuwa kwa...
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Vyumba vya upasuaji vya Kuhamahama Uganda
9 years ago
StarTV27 Nov
Uhaba waikabili Muhimbili licha ya kupata Mashine Ya Kupumulia moja
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imepokea msaada wa mashine moja ya kupumulia lakini bado inakabiliwa na uhaba wa mashine hizo kwani kabla ya msaada huo ilikuwa na mashine 12 za zamani.
Kulingana na viwango vya kimataifa vya Shirika la Afya Duniani WHO, hospitali kama ya Muhimbili inatakiwa kuwa na vitanda 150 vya wagonjwa mahututi na mashine za kupumulia.
Mashine iliyotolewa msaada ni ya kisasa ikiwa na thamani ya Dola elfu 36 za Marekani, ambazo ni sawa na Shilingi milioni 80 za...
11 years ago
Mtanzania11 Sep
Moto wateketeza vyumba 20 vya kulala wanafunzi

Wafanyakazi wa Shule ya sekondari ya African Muslim iliyopo mjini Moshi,wakifanya jitihada za kuzima moto kwenye Bweni la wasichana wa shule hiyo uliosababishwa na hitilafu ya umeme juzi usiku. Picha na Fadhili Athumani
FADHILI ATHUMANI NA SAFINA SARWATT, MOSHI
VYUMBA 20 vya bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari ya African Muslim, iliyoko Kata ya Kaloleni, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, vimeteketea kwa moto.
Moto huo ambao ulizuka juzi saa 1:45 jioni na kuwaka kwa zaidi ya saa...
11 years ago
Dewji Blog01 Oct
Mkalama kukabidhi vyumba 57 vya maabara Oktoba 15
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
WILAYA mpya ya Mkalama mkoa wa Singida, Oktoba 15 mwaka hu ,inatarajia kumkabidhi mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, vyumba 57 vya maabara katika shule 19 za sekondari za kata ya wilayani humo zikiwa zimekamilika ujenzi wake kwa asilimia mia moja.
Akizungumza na Mwakilishi wa MOblog, mkuu wa wilaya hiyo, Edwerd Ole Lenga alisema hadi sasa ujenzi wa vyumba 53 vya maabara...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA GEITA
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...