Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA GEITA

Benki ya CRDB kupitia tawi lake la mjini Geita imechangia ujenzi wa vyumba vya madarasa katika  Shule za Msingi Mwatulole na Shule ya Msingi Geita ambayo baadhi ya majengo yalibomolewa na mvua kubwa iliyoambata na upepo mkali mwanzoni mwa mwake huu mkoani Geita. 
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI WA ZAHANATI YA KIJIJI CHA KIFURU-KISARWE MKOA WA PWANI

Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Waterfront, Adelainde Bishangazi (kushoto), akimkabidhi sehemu ya vifaa vya ujenzi, Mkuu wa Masista wa Mtoto Yesu Bukoba, Sista Pudentiana   Kirungo kwa ajili ya ujenzi wa Kliniki ya akinamama na watoto katika kijiji cha Kifuru-Kisarawe, Mkoa wa Pwani. Vifaa vilivyokabidhiwa ni mifuko ya Saruji, bati, mbao na nondo. (Picha na Francis Dande)

 Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Waterfront, Adelainde Bishangazi (kushoto), akimkabidhi nondo kwa Mkuu wa Masista wa...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya NMB yasaidia vifaa vya ujenzi kituo cha Afya Tunduma

Benki ya NMB  imekabidhi vifaa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Makambini Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe kusaidia kukabiliana na janga la ugonjwa hatari wa COVID-19.
Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo kwa niaba ya Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Meneja wa NMB Tawi la Mbalizi Road - Hamadan Silliah amesema msaada wa vifaa hivyo ni moja kati ya mpango wa NMB ya kutenga sehemu ya faida yake katika kusaidia...

 

5 years ago

CCM Blog

BENKI YA NMB YASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA AFYA TUNDUMA


Benki ya NMB  imekabidhi vifaa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Makambini Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe kusaidia kukabiliana na janga la ugonjwa hatari wa COVID-19.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo kwa niaba ya Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Meneja wa NMB Tawi la Mbalizi Road - Hamadan Silliah amesema msaada wa vifaa hivyo ni moja kati ya mpango wa NMB ya kutenga sehemu ya faida yake katika kusaidia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ridhiwani azindua vyumba vya madarasa shule ya Magereza ya Bwawani

002

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi jengo la vyumba vya madarasa katika Shule ya Sekondari ya Bwawani katika Kijiji cha Visakazi Jimbo la Chalinze. Shule hiyo inamilikiwa na Jeshi la Magereza.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

Ridhiwani akivishwa skafu na mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Bwawani alipowasili katika shule hiyo leo.

Ridhiwani akiwa amekabidhiwa shada la maua.

Ridhiwani akikagua gwaride la...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YASAIDIA KAMATI YA AMANI YA DINI

Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa  akizungumza wakati wa hafla fupi ya kukabidhi hundi ya Shilingi milioni 12 kwa ajili maandalizi ya Futari iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Madhehebu ya Dini. Kulia ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhad Mussa Salum.  Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhad Mussa Salum wakionyesha hundi ya shilingi milioni 12...

 

5 years ago

Michuzi

ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 154 ZATUMIKA KUJENGA VYUMBA VITATU VYA MADARASA,UKARABATI WA SHULE WILAYANI TANDAHIMBA

Zaidi ya shilingi Milioni 154 zimetumika kujenga vyumba vitatu vya madarasa na kukarabati shule ya Msingi Luagala 'B' Wilayani Tandahimba

Akizindua madarasa hayo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Sebastian Waryuba amesema madarasa hayo yamewekwa na madawati tayari kwa wanafunzi kuendelea na masomo

"Tumezindua madarasa haya lakini pia wametukabidhi shule ikiwa katika muonekano unaovutia  ambapo kazi hii imefanywa na taasisi ya Eclat na Upendo ,"amesema Waryuba

Naye Mwenyekiti wa taasisi ya Eclat...

 

9 years ago

Michuzi

MODEWJI FOUNDATION YASAIDIA UJENZI WA MADARASA KITUO CHA MAFUNZO CHA FURAHINI.

Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akiwa ameambata na wafanyakazo wa kampuni ya METL walipotembelea kituo cha mafunzo cha Furahini cha wilayani Mwanga.  Afisa Udhibiti wa Ubora wa elimu ya msingi wilaya ya Mwanga ,Richard Joachim akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini klichopo Kisangara wilayani Mwanga.  Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akifungua mfano wa hundi kwa ajili ya kukabidhi kwa...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA TPB YASAIDIA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MTII

BENKI  ya TPB imesaidia umaliziaji wa ujenzi wa kituo cha afya Mtii, kilichopo Kata ya Mtii, Wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro. Kituo hicho cha afya kinajengwa na jamii ya wanakijiji wa Mtii chenye vijiji vitatu na vitongoji kumi.

Akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Senyamule, ameipongeza benki ya TPB kwa msaada mkubwa ilioutoa kwa ajili ya kumalizia eneo la OPD la kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa jamii. “Natoa shukrani zangu zadhati kwa benki...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA TPB YAKABIDHI MIFUKO 200 YA SARUJI KWA MBUNGE VITI MAALUM CCM KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA YA SHULE MKOANI RUKWA

  Mkurugenzi wa Teknohama na Uendeshaji wa benki ya TPB Jema Msuya (kushoto) akikabidhi mifuko 200 ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni 3.7 kwa Mbunge wa CCM  Viti Maalum Mkoa wa Rukwa Bupe Mwakang’ata kwa ajili ya kusaidia ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa ya shule mbalimbali Mkoani hapo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Rukwa Reiner Rukalah na Mwenyekiti wa UWT Mkoa Maria Kalula.  Mbunge wa Viti Maalum wa Rukwa Bupe Mwakang’ata akishukuru baada ya kupokea msaada wa mifuko 200 ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani