MODEWJI FOUNDATION YASAIDIA UJENZI WA MADARASA KITUO CHA MAFUNZO CHA FURAHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Gs7aJwealA/Vl5yubthM-I/AAAAAAAAXeI/sJigzz3rBfU/s72-c/IMG_9840%2B%25281024x683%2529.jpg)
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akiwa ameambata na wafanyakazo wa kampuni ya METL walipotembelea kituo cha mafunzo cha Furahini cha wilayani Mwanga.
Afisa Udhibiti wa Ubora wa elimu ya msingi wilaya ya Mwanga ,Richard Joachim akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini klichopo Kisangara wilayani Mwanga.
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akifungua mfano wa hundi kwa ajili ya kukabidhi kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo27 Oct
MO DEWJI FOUNDATION YATANUA MBAWA, YASAIDIA UBORESHAJI WA KITUO CHA FURAHINI MKOANI KILIMANJARO
![User comments](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/20151002_113258.jpg)
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakifurahia masomo wanayopatiwa ya kujiandaa na elimu ya sekondari katika kituo hicho cha Furahini mkoani Kilimanjaro.
![User comments](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/20150624_120510.jpg)
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakiendelea na masomo katika jengo la kituo hicho cha Furahini ambacho kinatarajiwa kukabaratiwa na kwa msaada wa Mo Dewji Foundation.
Na Mwandishi wetuTAASISI ya misaada ya Mo Dewji Foundation imekubali kufadhili mradi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini (FYLC) wenye lengo la kuboresha...
9 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mo Dewji Foundation yatanua mbawa, yasaidia uboreshaji wa kituo cha Furahini Mkoani K’njaro
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakifurahia masomo wanayopatiwa ya kujiandaa na elimu ya sekondari katika kituo hicho cha Furahini mkoani Kilimanjaro.
Na Mwandishi wetu
TAASISI ya misaada ya Mo Dewji Foundation imekubali kufadhili mradi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini (FYLC) wenye lengo la kuboresha upatikanaji wa elimu katika kijiji cha Kisangara mkoani Kilimanjaro.
Imeelezwa kuwa taasisi hiyo ya bilionea Mo Dewji imetoa shilingi milioni 7 kusaidia ujenzi wa miundombinu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PD7nE7BENA4/XmZYX1yKQoI/AAAAAAALiTo/oy5tbqHFQo4cn0tTEySrbqYAzo3fVXIYgCLcBGAsYHQ/s72-c/97b14184-d89e-4c26-9d07-81c906714a42.jpg)
BENKI YA TPB YASAIDIA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MTII
Akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Senyamule, ameipongeza benki ya TPB kwa msaada mkubwa ilioutoa kwa ajili ya kumalizia eneo la OPD la kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa jamii. “Natoa shukrani zangu zadhati kwa benki...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--5yziNpQh4E/XtoS_-oyy6I/AAAAAAALsrM/ObsQaJdV5kkiNpkdj4J7C9WqpFq6dNbswCLcBGAsYHQ/s72-c/Tunduma_0330.jpg)
BENKI YA NMB YASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA AFYA TUNDUMA
Benki ya NMB imekabidhi vifaa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Makambini Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe kusaidia kukabiliana na janga la ugonjwa hatari wa COVID-19.
Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo kwa niaba ya Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Meneja wa NMB Tawi la Mbalizi Road - Hamadan Silliah amesema msaada wa vifaa hivyo ni moja kati ya mpango wa NMB ya kutenga sehemu ya faida yake katika kusaidia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--5yziNpQh4E/XtoS_-oyy6I/AAAAAAALsrM/ObsQaJdV5kkiNpkdj4J7C9WqpFq6dNbswCLcBGAsYHQ/s72-c/Tunduma_0330.jpg)
Benki ya NMB yasaidia vifaa vya ujenzi kituo cha Afya Tunduma
Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo kwa niaba ya Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Meneja wa NMB Tawi la Mbalizi Road - Hamadan Silliah amesema msaada wa vifaa hivyo ni moja kati ya mpango wa NMB ya kutenga sehemu ya faida yake katika kusaidia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-R9gvbev0ehY/Ux2hsZajWGI/AAAAAAAFSqk/xkBnl0abp9U/s72-c/unnamed+(28).jpg)
EPZA YASAIDIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA MAKUBURI KIBANGU, DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-R9gvbev0ehY/Ux2hsZajWGI/AAAAAAAFSqk/xkBnl0abp9U/s1600/unnamed+(28).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--QOE97MwvLU/Voov7Ned42I/AAAAAAAAeuI/iN8vYYwYLeA/s72-c/1.jpg)
KIKUNDI CHA TUWAJALI FOUNDATION CHAANZA MWAKA KWA KUSAIDIA KITUO CHA SIFA KILICHOPO BUNJU B DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/--QOE97MwvLU/Voov7Ned42I/AAAAAAAAeuI/iN8vYYwYLeA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JZiwE7Yhgd4/VopD_vrGtfI/AAAAAAAAeu4/fv4xShcehXs/s640/DzTyev0v.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qO4UQP6QCgU/VoowEh7rK-I/AAAAAAAAeuY/avfmFGSKGOA/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9p0EZOgC3Yk/VoowLgzzhjI/AAAAAAAAeuo/hjg3SHZcfLs/s640/5.jpg)
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA GEITA
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sc3zEstG6mo/U8ydxPuDFII/AAAAAAAF4Nw/VRawIVc3rFI/s72-c/unnamed+(4).jpg)
KISARAWE YAPATA MATUNDA YA KALAMU EDUCATION FOUNDATION KWA KUZINDUA KITUO CHA MASOMO YA WATOTO CHA AWALI KATIKA MFUNGO WA RAMADHAN.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sc3zEstG6mo/U8ydxPuDFII/AAAAAAAF4Nw/VRawIVc3rFI/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-w2Fzgr2aFzk/U8ydxqBBFcI/AAAAAAAF4N0/QcvMZfgBxiU/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OwkLichX7mk/U8ydyHQTcSI/AAAAAAAF4OA/8H12F2Z9oUE/s1600/unnamed+(6).jpg)