Benki ya NMB yasaidia vifaa vya ujenzi kituo cha Afya Tunduma
![](https://1.bp.blogspot.com/--5yziNpQh4E/XtoS_-oyy6I/AAAAAAALsrM/ObsQaJdV5kkiNpkdj4J7C9WqpFq6dNbswCLcBGAsYHQ/s72-c/Tunduma_0330.jpg)
Benki ya NMB imekabidhi vifaa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Makambini Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe kusaidia kukabiliana na janga la ugonjwa hatari wa COVID-19.
Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo kwa niaba ya Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Meneja wa NMB Tawi la Mbalizi Road - Hamadan Silliah amesema msaada wa vifaa hivyo ni moja kati ya mpango wa NMB ya kutenga sehemu ya faida yake katika kusaidia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--5yziNpQh4E/XtoS_-oyy6I/AAAAAAALsrM/ObsQaJdV5kkiNpkdj4J7C9WqpFq6dNbswCLcBGAsYHQ/s72-c/Tunduma_0330.jpg)
BENKI YA NMB YASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA AFYA TUNDUMA
Benki ya NMB imekabidhi vifaa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Makambini Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe kusaidia kukabiliana na janga la ugonjwa hatari wa COVID-19.
Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo kwa niaba ya Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Meneja wa NMB Tawi la Mbalizi Road - Hamadan Silliah amesema msaada wa vifaa hivyo ni moja kati ya mpango wa NMB ya kutenga sehemu ya faida yake katika kusaidia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PD7nE7BENA4/XmZYX1yKQoI/AAAAAAALiTo/oy5tbqHFQo4cn0tTEySrbqYAzo3fVXIYgCLcBGAsYHQ/s72-c/97b14184-d89e-4c26-9d07-81c906714a42.jpg)
BENKI YA TPB YASAIDIA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MTII
Akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Senyamule, ameipongeza benki ya TPB kwa msaada mkubwa ilioutoa kwa ajili ya kumalizia eneo la OPD la kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa jamii. “Natoa shukrani zangu zadhati kwa benki...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--fdhWpI7sJQ/Xucxc8xZ5wI/AAAAAAALt38/l3GZfr4DzT4Xy0yTrtLPDAaVkzpwPTNOQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI SHULE TATU ZA AWALI ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/--fdhWpI7sJQ/Xucxc8xZ5wI/AAAAAAALt38/l3GZfr4DzT4Xy0yTrtLPDAaVkzpwPTNOQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
11 years ago
MichuziNMB YASAIDIA KITUO CHA WALIMU TEMEKE
11 years ago
GPLKCB YAKABIDHI VIFAA VYA HOSPITALI KITUO CHA AFYA KOMBENI
10 years ago
MichuziKONYAGI WATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA POLISI CHANG’OMBE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Zl0EJ7n4qrg/XmPSkijsaMI/AAAAAAALhv4/V3jb_PYAu0gRLDuXDFwAL5LGTSPBAtHTwCLcBGAsYHQ/s72-c/9c93071b-f496-4abd-8350-1a913221848a.jpg)
WAFANYAKAZI WANAWAKE TANESCO WAKABIDHI VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA WATOTO YATIMA
KATIKA kusherehekea siku ya wanawake duniani, Wafanyakazi Wala ya kazi wanawake wa Shirika la Umeme nchini (Tanesco) wametembelea kituo cha watoto yatima cha Rahman kilichopo jijini Dodoma na kuwapa misaada mbalimbali.
Wafanyakazi hao kwa umoja wao wamepeleka Mabati, Mbao, Mifuko ya Saruji, Misumari na Milango kwa ajili ya kumalizia baadhi ya mabweni lakini pia walibeba vyakula kama Mchele, Mafuta ya kupikia, Maji na Juisi.
Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo...
10 years ago
GPLKONYAGI WATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA POLISI CHANG'OMBE
5 years ago
MichuziUBORESHWAJI KITUO CHA AFYA BUNDA MJINI IKIWEMO MAJENGO MAPYA NA VIFAA TIBA VYA KISASA