Ridhiwani azindua vyumba vya madarasa shule ya Magereza ya Bwawani
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi jengo la vyumba vya madarasa katika Shule ya Sekondari ya Bwawani katika Kijiji cha Visakazi Jimbo la Chalinze. Shule hiyo inamilikiwa na Jeshi la Magereza.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Ridhiwani akivishwa skafu na mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Bwawani alipowasili katika shule hiyo leo.
Ridhiwani akiwa amekabidhiwa shada la maua.
Ridhiwani akikagua gwaride la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dZ3OhqigiwM/XlYAqf_k8MI/AAAAAAAEFyQ/_RP2bC5YMuADqtoY2fffWUUAfDNZJhHzACLcBGAsYHQ/s72-c/5f862bf5-7543-4aa3-857b-df13ff516d68.jpg)
ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 154 ZATUMIKA KUJENGA VYUMBA VITATU VYA MADARASA,UKARABATI WA SHULE WILAYANI TANDAHIMBA
Akizindua madarasa hayo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Sebastian Waryuba amesema madarasa hayo yamewekwa na madawati tayari kwa wanafunzi kuendelea na masomo
"Tumezindua madarasa haya lakini pia wametukabidhi shule ikiwa katika muonekano unaovutia ambapo kazi hii imefanywa na taasisi ya Eclat na Upendo ,"amesema Waryuba
Naye Mwenyekiti wa taasisi ya Eclat...
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA GEITA
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...
9 years ago
VijimamboMAHAFALI YA KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI BWAWANI INAYOMILIKIWA NA JESHI LA MAGEREZA YAFANA MKOANI PWANI
10 years ago
Mwananchi29 Oct
RC Morogoro aagiza shule zote zijengwe vyumba vya maabara
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AZINDUA HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" MAGEREZA UYUI TABORA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lxAe9VInGwM/VEf9OHMPczI/AAAAAAAGsyE/esShPo6nHdA/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA AKABIDHI ZAWADI YA BASI DOGO BWAWANI SEKONDARI KATIKA MAHAFALI YA 11 YA KIDATO CHA NNE
![](http://2.bp.blogspot.com/-lxAe9VInGwM/VEf9OHMPczI/AAAAAAAGsyE/esShPo6nHdA/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XGwtWF4-WwM/VEf9PWRtXUI/AAAAAAAGsyc/mb5xHwKP0aY/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vieLudkrxjY/VHCn1ziNcEI/AAAAAAAGy64/kxZoA10hTfQ/s72-c/IMG_1856.jpg)
DKT. SHEIN AZINDUA TAMASHA LA VIJANA BWAWANI UNGUJA,ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-vieLudkrxjY/VHCn1ziNcEI/AAAAAAAGy64/kxZoA10hTfQ/s1600/IMG_1856.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fFuylA85CYQ/VHCn5fjywdI/AAAAAAAGy7o/T1UAFj_zGAE/s1600/IMG_1898.jpg)