BENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI WA ZAHANATI YA KIJIJI CHA KIFURU-KISARWE MKOA WA PWANI
Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Waterfront, Adelainde Bishangazi (kushoto), akimkabidhi sehemu ya vifaa vya ujenzi, Mkuu wa Masista wa Mtoto Yesu Bukoba, Sista Pudentiana Kirungo kwa ajili ya ujenzi wa Kliniki ya akinamama na watoto katika kijiji cha Kifuru-Kisarawe, Mkoa wa Pwani. Vifaa vilivyokabidhiwa ni mifuko ya Saruji, bati, mbao na nondo. (Picha na Francis Dande)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hsZlXBiC-iw/VWNCgB8FmsI/AAAAAAAHZvw/m295-3X0mKg/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
CHANGIA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA MLAMLENI, MKURANGA, MKOA WA PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hsZlXBiC-iw/VWNCgB8FmsI/AAAAAAAHZvw/m295-3X0mKg/s640/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
Nyumba hii ya Ibada ama Msikiti huu Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala 5 kwa siku , Msikiti huu upo Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Mlamleni Kitongoji cha Kimbangulile. Wenzetu wameanza kwa Nguvu zao kwa Ujenzi wa Msikiti huu. Na Jitihada nyengine ni kuwa na Matofali yasiyo pungua 300 kwa Ajili ya kuanza...
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA GEITA
Benki ya CRDB kupitia tawi lake la mjini Geita imechangia ujenzi wa vyumba vya madarasa katika Shule za Msingi Mwatulole na Shule ya Msingi Geita ambayo baadhi ya majengo yalibomolewa na mvua kubwa iliyoambata na upepo mkali mwanzoni mwa mwake huu mkoani Geita.
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PD7nE7BENA4/XmZYX1yKQoI/AAAAAAALiTo/oy5tbqHFQo4cn0tTEySrbqYAzo3fVXIYgCLcBGAsYHQ/s72-c/97b14184-d89e-4c26-9d07-81c906714a42.jpg)
BENKI YA TPB YASAIDIA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MTII
BENKI ya TPB imesaidia umaliziaji wa ujenzi wa kituo cha afya Mtii, kilichopo Kata ya Mtii, Wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro. Kituo hicho cha afya kinajengwa na jamii ya wanakijiji wa Mtii chenye vijiji vitatu na vitongoji kumi.
Akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Senyamule, ameipongeza benki ya TPB kwa msaada mkubwa ilioutoa kwa ajili ya kumalizia eneo la OPD la kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa jamii. “Natoa shukrani zangu zadhati kwa benki...
Akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Senyamule, ameipongeza benki ya TPB kwa msaada mkubwa ilioutoa kwa ajili ya kumalizia eneo la OPD la kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa jamii. “Natoa shukrani zangu zadhati kwa benki...
10 years ago
MichuziMbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa achangia bati 100 ujenzi wa shule ya msingi lukwambe na zahanati ya kijiji cha mlangali
Mbunge wa jimbo la Kalenga Bw Godfrey Mgimwa kulia akikabidhi mchango wake wa Tsh 250,000 kwa ajili ya kusaidia kazi ndogo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s72-c/4.jpg)
MICHANGO BADO YAHITAJIKA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA KIMBANGULILE MKURANGA PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AOHP80hrTZ0/VaZw1Sd_-RI/AAAAAAAAfRE/HVBs313oB0M/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-udTwNvoBskk/VaZwtyMGESI/AAAAAAAAfQ0/LDtaR956Vyg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wyqIn18Rwpk/VaZw0slLC8I/AAAAAAAAfQ8/JAvyl1wMz7g/s640/3.jpg)
TUNAMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa Pumzi anayo endelea kutupa.
Ufuatao ni Mrejesho wa Michango yenu ya Ujenzi wa Msikiti wa Masjid Fisabillah ya Mlamleni , Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Kimbangulile.
Ikumbukwe kupitia Blogs na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--5yziNpQh4E/XtoS_-oyy6I/AAAAAAALsrM/ObsQaJdV5kkiNpkdj4J7C9WqpFq6dNbswCLcBGAsYHQ/s72-c/Tunduma_0330.jpg)
Benki ya NMB yasaidia vifaa vya ujenzi kituo cha Afya Tunduma
Benki ya NMB imekabidhi vifaa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Makambini Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe kusaidia kukabiliana na janga la ugonjwa hatari wa COVID-19.
Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo kwa niaba ya Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Meneja wa NMB Tawi la Mbalizi Road - Hamadan Silliah amesema msaada wa vifaa hivyo ni moja kati ya mpango wa NMB ya kutenga sehemu ya faida yake katika kusaidia...
Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo kwa niaba ya Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Meneja wa NMB Tawi la Mbalizi Road - Hamadan Silliah amesema msaada wa vifaa hivyo ni moja kati ya mpango wa NMB ya kutenga sehemu ya faida yake katika kusaidia...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--5yziNpQh4E/XtoS_-oyy6I/AAAAAAALsrM/ObsQaJdV5kkiNpkdj4J7C9WqpFq6dNbswCLcBGAsYHQ/s72-c/Tunduma_0330.jpg)
BENKI YA NMB YASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA AFYA TUNDUMA
Benki ya NMB imekabidhi vifaa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Makambini Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe kusaidia kukabiliana na janga la ugonjwa hatari wa COVID-19.
Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo kwa niaba ya Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Meneja wa NMB Tawi la Mbalizi Road - Hamadan Silliah amesema msaada wa vifaa hivyo ni moja kati ya mpango wa NMB ya kutenga sehemu ya faida yake katika kusaidia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O0euuir3VEk/VZT-la0cWHI/AAAAAAABckc/YqnoINUrf4Y/s72-c/14.jpg)
BENKI YA CRDB YASAIDIA KAMATI YA AMANI YA DINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-O0euuir3VEk/VZT-la0cWHI/AAAAAAABckc/YqnoINUrf4Y/s640/14.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iSg3z9Dx_EI/VD4V2uS3WLI/AAAAAAACRlc/j1L5zzl642M/s72-c/126.jpg)
BALOZI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MAJENGO YA VIKUNDI VYA UCHUMI KIJIJI CHA MUUNGANO CHA ZOMBA MKOA WA RUVUMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-iSg3z9Dx_EI/VD4V2uS3WLI/AAAAAAACRlc/j1L5zzl642M/s640/126.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCJm0x7KOxc/VD4V-Tx_3cI/AAAAAAACRls/ZRXCv6xHRq0/s640/139.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ti1rivizzn0/VD4V9XrX2jI/AAAAAAACRlk/N3I9BN4ktXc/s640/176.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania