Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa achangia bati 100 ujenzi wa shule ya msingi lukwambe na zahanati ya kijiji cha mlangali
Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa (kulia) akikabidhi ahadi ya bati 100 alizokuwa ameziahidi mbunge aliyepita marehemu Dr Wiliam Mgimwa kwa viongozi wa kijiji cha Mangalali kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya msingi Lukwambe hadi sasa ni asilimia 90 ya ahadi binafsi za mbunge aliyefariki zimetekelezwa jimbo la Kalenga na mbunge Mgimwa.
Mbunge wa jimbo la Kalenga Bw Godfrey Mgimwa kulia akikabidhi mchango wake wa Tsh 250,000 kwa ajili ya kusaidia kazi ndogo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMBUNGE GODFREY MGIMWA AKABIDHI MSAADA WA BATI KIJIJI CHA USENGERENDETI NA MAHANZI
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6TD3zIHIkFQ/VNCFss0iVLI/AAAAAAAB2zg/nI2uCadFLwA/s72-c/image11.jpeg)
MBUNGE MGIMWA ACHANGIA VICOBA TANANGOZI ,ASEMA NDOTO YAKE KUWA NA BENKI YA WANANCHI WA JIMBO LA KALENGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6TD3zIHIkFQ/VNCFss0iVLI/AAAAAAAB2zg/nI2uCadFLwA/s640/image11.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qajrAfWYjL8/VNCFoS3PDBI/AAAAAAAB2zY/IaLOl7zSL4s/s640/image1.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uAoGbbs1uOs/VNCHJ5TRIrI/AAAAAAAB20Y/ZbQVqKhSaRQ/s640/image2.jpeg)
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
GPLMBUNGE GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU YA UBUNGE WAKE KUTEKELEZA AHADI 90 ZA MBUNGE WA KALENGA ALIYEFARIKI DUNIA DR WILIAM MGIMWA
11 years ago
Michuzi10 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s72-c/IMG_7757.jpg)
Meya wa Ilala Jerry Silaa,Mwakalebela waishambulia vilivyo Kalenga,wampigia debe la nguvu mgombea ubunge jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s1600/IMG_7757.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ShlZgfeEtBU/Uxt7x5TTc1I/AAAAAAACb6o/R1PCrEQ8wv4/s1600/IMG_7760.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/14.jpg)
MGOMBEA UBUNGE GODFREY MGIMWA AENDELEA NA KAMPENI JIMBO LA KALENGA
11 years ago
Michuzi07 Mar
11 years ago
Michuzi11 Feb
CCM YATEUA MGOMBEA WAKE UCHGAUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA, NI GODFREY WILLIAM MGIMWA
![](https://4.bp.blogspot.com/-n8Ddr_7XSkc/Uvo3GMb3iQI/AAAAAAAAjtg/AHXJTljDTrM/s1600/MGIMWA+2.jpg)
Akizungumza na waandfishi wa habari leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Katribu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, Kamati Kuu ya CCM imemridhia Godfrey kupeperusha bendera ya CCM baada ya kukidhi vigezo licha...