BENKI YA CRDB YASAIDIA KAMATI YA AMANI YA DINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-O0euuir3VEk/VZT-la0cWHI/AAAAAAABckc/YqnoINUrf4Y/s72-c/14.jpg)
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akizungumza wakati wa hafla fupi ya kukabidhi hundi ya Shilingi milioni 12 kwa ajili maandalizi ya Futari iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Madhehebu ya Dini. Kulia ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhad Mussa Salum.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhad Mussa Salum wakionyesha hundi ya shilingi milioni 12...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA GEITA
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI WA ZAHANATI YA KIJIJI CHA KIFURU-KISARWE MKOA WA PWANI
10 years ago
Habarileo25 Feb
Viongozi wa dini watakiwa kuanzisha kamati za amani
VIONGOZI wa dini zote nchini, wameshauriwa kuanzisha Kamati za Pamoja za Amani katika mikoa waliyomo, kujadili changamoto zinazojitokeza Tanzania, zikihusisha imani.
9 years ago
MichuziTIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI YAJIFUA NA MABALOZI, YAKABIDHIWA MIPIRA
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Pinda aalikwa futari ya kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wa Dar na Mwanza
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Kamati za Amani za mikoa ya Dar es salaam na Mwanza walioshiki katika futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amaniya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TMz0w96JaQE/default.jpg)
RAIS KIKWETE AISHUKURU NA KUIPONGEZA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA MWANZA
10 years ago
Dewji Blog03 May
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Kamanda Mpinga atembelea kambi ya timu ya kamati Amani ya viongozi wa dini mkoa wa Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBowwnVQC5g/Vd2qqYeHqNI/AAAAAAACh-I/mBMfKQ5rtIs/s640/5.jpg)
Kamanda Mpinga, akisalimiana na walimu wa timu hiyo, baada ya mazoezi yao kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo asubuhi.
*Yajifua uwanja wa Karume kujiandaa kuwasambaratisha wenzao wa Arusha mwezi ujao
Mchungaji wa Kanisa la Penuel Healing Ministry Ubungo Kibangu, Mch. Alphonce Temba (kulia) akimramba chenga Mchungaji wa Kanisa la KKKT Mashariki ya Pwania, George Fupe, wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo asubuhi kwa ajili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cd6Cu0UY7JE/VZefM-zAFtI/AAAAAAAHmwk/edCEdtxiluE/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA AALIKWA FUTARI NA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI WA DAR ES SALAAM NA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cd6Cu0UY7JE/VZefM-zAFtI/AAAAAAAHmwk/edCEdtxiluE/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DSjnqFFp5os/VZefMYlTo3I/AAAAAAAHmwg/YO7yDZFsJmw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t-DlWN_auq4/VZefOCq92sI/AAAAAAAHmws/jecxmB5lWMY/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)