Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moto wateketeza vyumba 20 vya kulala wanafunzi

Wafanyakazi wa  Shule ya sekondari ya African Muslim iliyopo mjini Moshi,wakifanya jitihada za kuzima moto kwenye Bweni la wasichana wa shule hiyo uliosababishwa na hitilafu ya umeme  juzi usiku. Picha na Fadhili Athumani

Wafanyakazi wa Shule ya sekondari ya African Muslim iliyopo mjini Moshi,wakifanya jitihada za kuzima moto kwenye Bweni la wasichana wa shule hiyo uliosababishwa na hitilafu ya umeme juzi usiku. Picha na Fadhili Athumani

FADHILI ATHUMANI NA SAFINA SARWATT, MOSHI

VYUMBA 20 vya bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari ya African Muslim, iliyoko Kata ya Kaloleni, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, vimeteketea kwa moto.

Moto huo ambao ulizuka juzi saa 1:45 jioni na kuwaka kwa zaidi ya saa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Moto wateketeza bweni la wanafunzi wa kike Dar

Jengo  la ‘Block B’  la Hostel za Mabibo,  za wanafunzi wa kike wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), jijini hapa limeungua kwa moto na kuteketeza vifaa na mali kadhaa  za wanafunzi waliokuwa wakiishi kwenye jengo hilo.

 

11 years ago

Michuzi

MOTO WATEKETEZA VIBANDA 63 VYA WAJASIRIAMALI ENEO LA JAMATINI DODOMA

 Moja ya banda lililoungua na moto huo kati ya mabanda 63 ya wajasiliamali eneo la Dodoma Baadhi ya wajasiriamali wakiokoa mali zao.  Moto uliokuwa ukiwaka eneo la Jamatinii
=======  =========  =======Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Moto mkubwa umetokea katika eneo la Jamatini Manispaa ya Dodoma na kusababisha hasara ambayo thamani yake bado haijafahamika.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi DAVID A. MISIME – SACP, amesema kuwa mnamo tarehe 11/07/2014...

 

10 years ago

GPL

MOTO ULIVYOTEKETEZA VYUMBA VITATU JIJINI DAR

FAMILIA moja iliyopo maeneo ya Uwanja wa Tip Sinza, jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2014 imejikuta ikipata wakati mgumu baada ya vyumba vitatu walivyokuwa wanaishi kuteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa. Chanzo cha moto huo ilikuwa ni shoti ya umeme. Ungana na Global TV kujua kilichotokea eneo hilo la tukio.

 

10 years ago

GPL

VYUMBA VITATU VYATEKETEA KWA MOTO DAR

Askari wa zimamoto wakiwa kazini.
Sehemu ya ukuta ilivyoungua.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Vyumba vya upasuaji vya Kuhamahama Uganda

Juhudi za kupambana na gonjwa la ukimwi umepelekea uzinduzi wa kliniki inayotembea kwa lengo kufikisha huduma ya tohara maeneo ya vijijini

 

10 years ago

Habarileo

Moto wateketeza familia Dar

Wananchi wakiangalia nyumba iliyoteketea na kuangamiza familia nzima.WATU sita wa familia moja akiwamo Kapteni mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), wamekufa papo hapo baada ya kuteketezwa kwa moto jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Moto wateketeza mabanda Njombe

Moto ambao chanzo chake hakijajulikana hadi sasa umeteketeza baadhi ya mabanda ya mama lishe na mitumba karibu na kituo cha mabasi mkoani Njombe.

 

10 years ago

Mtanzania

Moto wateketeza hosteli UDSM

NA MICHAEL SARUNGI, Dar es Salaam
WANAFUNZI wawili wanaosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wameumia baada ya moto kuteketeza hosteli za Mabibo Dar es Salaam, walikokuwa wakiishi.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya tukio hilo, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala, alisema moto huo uliteketeza ghorofa ya tatu ya jengo A linalotumiwa na wanafunzi wa kike.
“Tunamshukuru Mungu hakuna maafa yaliyotokea ingawa kuna wanafunzi wawili wamepata matatizo na...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Moto wateketeza soko Mchikichini


NA WILLIAM SHECHAMBO
TAKRIBAN wafanyabiashara 10,000 wa soko la mitumba la Mchikichini lililoko Ilala, Dar es Salaam, wamepata hasara baada ya mali zao kuteketea kwa moto uliounguza soko hilo usiku wa kuamkia jana.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, moto huo ulizuka majira ya saa 4.00 usiku, kwenye vibanda vilivyoko eneo la katikati ya soko hilo.
Walisema muda mfupi baadae, moto huo ulishika kwenye vibanda vingine na kuanza kusambaa kwa kasi kutokana na uwepo wa bidhaa za nguo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani