MOTO WATEKETEZA VIBANDA 63 VYA WAJASIRIAMALI ENEO LA JAMATINI DODOMA
Moja ya banda lililoungua na moto huo kati ya mabanda 63 ya wajasiliamali eneo la Dodoma
Baadhi ya wajasiriamali wakiokoa mali zao.
Moto uliokuwa ukiwaka eneo la Jamatinii
======= ========= =======Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Moto mkubwa umetokea katika eneo la Jamatini Manispaa ya Dodoma na kusababisha hasara ambayo thamani yake bado haijafahamika.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi DAVID A. MISIME – SACP, amesema kuwa mnamo tarehe 11/07/2014...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68zTPuDjjnF-fkxfJ3fqQ07amnif4-jTi0Q*mGqGjv4Nvi30kUjrmH5bTeOU2lQ-JS*KiK7VBp1qF6SuthWkOo8Z/motokibangugpl5.jpg?width=650)
MOTO WATEKETEZA VIWANDA, MADUKA ENEO LA KIBANGU JIJINI DAR
11 years ago
MichuziMoto wa wateketeza maduka matatu na mgahawa mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo
10 years ago
Mtanzania11 Sep
Moto wateketeza vyumba 20 vya kulala wanafunzi
![Wafanyakazi wa Shule ya sekondari ya African Muslim iliyopo mjini Moshi,wakifanya jitihada za kuzima moto kwenye Bweni la wasichana wa shule hiyo uliosababishwa na hitilafu ya umeme juzi usiku. Picha na Fadhili Athumani](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/moto-bweni.jpg)
Wafanyakazi wa Shule ya sekondari ya African Muslim iliyopo mjini Moshi,wakifanya jitihada za kuzima moto kwenye Bweni la wasichana wa shule hiyo uliosababishwa na hitilafu ya umeme juzi usiku. Picha na Fadhili Athumani
FADHILI ATHUMANI NA SAFINA SARWATT, MOSHI
VYUMBA 20 vya bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari ya African Muslim, iliyoko Kata ya Kaloleni, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, vimeteketea kwa moto.
Moto huo ambao ulizuka juzi saa 1:45 jioni na kuwaka kwa zaidi ya saa...
10 years ago
GPLMAONYESHO YA WAJASIRIAMALI YAENDELEA VIWANJA VYA MASHUJAA MJINI DODOMA
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-B3yh97TG6WE/UssHPjl3ONI/AAAAAAAAJ98/Wrf-82jDN90/s1600/IMG_20140105_162428.jpg)
UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Rais Kikwete aomboleza vifo vya watu 18 kufuatia ajali iliyotokea eneo la Pandambili, Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai, 2014 katika eneo la Pandambili, Wilayani Kongwa na kuua watu wapatao 18.
Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia rambirambi zake za dhati kwa...
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Kasi ya Magufuli kuondoka vibanda 100 Dodoma
KASI ya utendaji kazi wa Serikali ya Awamu ya Tano imeendelea kwenye maeneo ya kawaida kwa Katib
Mwandishi Wetu
10 years ago
VijimamboMAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sDCRRixujJY/VGhk9zmlUXI/AAAAAAAAvsY/9rDoqXLpllo/s640/jones_1.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Moto wateketeza maduka Tanga
MADUKA manne yameteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme barabara ya 14 jirani na stendi ya mabasi yaendayo mikoani jijini Tanga, usiku wa kuamkia jana. Moto huo uliozuka majira...