WANANCHI WA NGORONGORO WANAKABILIWA NA UHABA WA MAJI
Wananchi wa kijiji cha Naiyobi wilaya ya Ngorongoro wakichota maji ambayo hutumia na mifugo kijiji hicho kinakabiliwa na uhaba wa maji.
Na Ferdinand Shayo, Arusha.
Wananchi wa Kijiji cha Nayobi kilichopo tarafa ya Ngorongoro wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wamelalamikia kero ya uhaba wa maji inayowasababishia kukesha kwenye bomba la kijiji kwa takribani siku tatu wakisubiri maji jambo linalopelekea shughuli za kijamii na kiuchumi kusimama kwa muda mrefu na kinamama kutembea umbali mrefu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWANANCHI WA NGORONGORO WANAKABILIWA NA UHABA WA MAJI
Na Woinde Shizza,Arusha WANANCHI wa Kijiji cha Nayobi kilichopo tarafa ya Ngorongoro wilayaniNgorongoro mkoani Arusha wamelalamikia kero ya uhaba wa majiinayowasababishia kukesha kwenye bomba la kijiji kwa takribani siku tatuwakisubiri maji jambo linalopelekea shughuli za kijamii na kiuchumikusimama kwa muda mrefu na kinamama kutembea umbali mrefu wakitafuta...
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
UHABA WA MAJI ILULA WAWATESA WANANCHI
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Uhaba wa maji TZ
9 years ago
Dewji Blog13 Oct
Wilaya ya Simanjaro yakabiliwa na uhaba wa maji
Mgombea wa jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole Milya.
Na Woinde Shizza, Arusha
Licha ya uwepo wa madini ya Tanzanite katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara bado wilaya hiyo inakabiliwa na uhaba wa maji, ubovu wa miundombinu ya barabara pamoja na ukosefu wa huduma za afya kwenye baadhi ya vijiji .
Akizungumza katika mkutano wa Kampeni,Mgombea wa jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole Milya amesema kuwa iwapo UKAWA wataingia madarakani watatunga sheria za...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Sababu za uhaba wa maji sasa zatajwa
10 years ago
Habarileo18 Dec
Bilioni 800/- kukabili uhaba wa maji Chalinze
CHANGAMOTO ya maji wilayani Bagamoyo mkoani Pwani huenda ikawa historia baada ya serikali ya India kutoa kiasi cha Sh bilioni 800 kwa ajili ya mradi wa maji wa Wami Chalinze.
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Tatizo la uhaba wa maji Wilayani Mkuranga kuwa historia
Mwakilishi wa Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki nchini Tanzania Dkt, Mohammed Akbar akitoa taarifa za kukamilika kwa kazi ya uchimbaji wa kisima chenye urefu wa mita 541 eneo la Mkwalia, Mkuranga, Pwani leo.Kisima hicho kinauwezo wa kuzalisha maji lita milioni 1.8 kwa siku.
Maji kutoka katika kisima hicho yakitiririka kufuatia kufanyika kwa majaribio ya kuyatoa maji kutoka ardhini.
11 years ago
Michuzi15 Mar
uhaba wa maji ya uhakika dar es salaam kuwa historia karibuni
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
TBL kutumia mil. 700/- kutatua uhaba wa maji sekta ya afya
TATIZO la upatikananji wa maji safi na salama nchini ni moja kati ya changamoto kubwa zinazoikabili sekta ya afya nchini. Tatizo hili limekuwa likiathiri ufanisi katika shughuli mbalimbali za huduma...