Bilioni 800/- kukabili uhaba wa maji Chalinze
CHANGAMOTO ya maji wilayani Bagamoyo mkoani Pwani huenda ikawa historia baada ya serikali ya India kutoa kiasi cha Sh bilioni 800 kwa ajili ya mradi wa maji wa Wami Chalinze.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Serikali kukabili uhaba watumishi mahakamani
KUTOKANA na uhaba wa watumishi katika mahakama nchini, Serikali inakusudia kutatua na kumaliza adha hiyo ambayo ni kero kwa wananchi. Hayo yalisemwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha...
10 years ago
Habarileo24 May
Shilingi bilioni 800/- zayeyuka
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, amebaini kuyeyuka kwa fedha za kodi Sh bilioni 835.974, katika mizigo iliyofika katika Bandari ya Dar es Salaam na kutakiwa kwenda katika nchi nyingine.
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Uhaba wa maji TZ
10 years ago
Habarileo08 Jul
Zatengwa bilioni 1/- kukabili ukame
OFISI ya Waziri Mkuu kwa ufadhili wa Benki ya Dunia inatarajia kutumia zaidi ya Sh bilioni moja kupunguza athari za ukame uliokithiri katika halmashauri za wilaya za Same, mkoani Kilimanjaro na Kishapu mkoani Shinyanga.
5 years ago
MichuziWIZARA YA MAJI KUTENGA SHILINGI BILIONI 2, KUPELEKA MAJI MASHULENI NA VITUO VYA AFYA
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Hispania yasaidia bilioni 3.1/- kukabili umaskini Tanzania
Balozi wa Spain nchini, Mh. Luis Cuesta Civis (kulia) na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez (katikati) wakiwasili kwenye ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo kabla ya ziara ya kuelekea katika kijiji cha Chasimba kukagua miradi inayofadhiliwa na TASAF katika wilaya ya Bagamoyo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Ladislaus Mwamanga.(Picha na Zainul Mzige wa...
9 years ago
Dewji Blog13 Oct
Wilaya ya Simanjaro yakabiliwa na uhaba wa maji
Mgombea wa jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole Milya.
Na Woinde Shizza, Arusha
Licha ya uwepo wa madini ya Tanzanite katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara bado wilaya hiyo inakabiliwa na uhaba wa maji, ubovu wa miundombinu ya barabara pamoja na ukosefu wa huduma za afya kwenye baadhi ya vijiji .
Akizungumza katika mkutano wa Kampeni,Mgombea wa jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya CHADEMA, James Ole Milya amesema kuwa iwapo UKAWA wataingia madarakani watatunga sheria za...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Sababu za uhaba wa maji sasa zatajwa
9 years ago
MichuziWANANCHI WA NGORONGORO WANAKABILIWA NA UHABA WA MAJI
Na Woinde Shizza,Arusha WANANCHI wa Kijiji cha Nayobi kilichopo tarafa ya Ngorongoro wilayaniNgorongoro mkoani Arusha wamelalamikia kero ya uhaba wa majiinayowasababishia kukesha kwenye bomba la kijiji kwa takribani siku tatuwakisubiri maji jambo linalopelekea shughuli za kijamii na kiuchumikusimama kwa muda mrefu na kinamama kutembea umbali mrefu wakitafuta...