Sababu za wananchi kutopiga kura zatajwa
CHANGAMOTO zinazowakabili wananchi kutopatiwa ufumbuzi ama kupewa kipaumbele na viongozi wa kisiasa zimeelezwa kuwa chanzo cha wananchi kususia uchaguzi na kuendelea na shughuli zao za kila siku. Hayo yameelezwa jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
NEC yataja sababu wananchi kutopiga kura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetaja sababu zinazochangia wananchi kushindwa kujitokeza kupiga kura katika chaguzi mbalimbali nchini. Sababu hizo zimetajwa mjini Bagamoyo jana na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian...
11 years ago
Habarileo08 Apr
Askofu TAG ataja sababu za Watanzania kutopiga kura
SERIKALI imeshauriwa kuangalia upya siku za upigaji kura katika uchaguzi zake mbalimbali zinazowahusisha wananchi wote hususani zile za udiwani, ubunge na urais ili kuhamasisha wananchi wengi zaidi kujitokeza.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Sababu za uhaba wa maji sasa zatajwa
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Sababu zinazoua soko nchini zatajwa
10 years ago
Habarileo20 Jun
Sababu vifo vya wajawazito zatajwa
UKOSEFU wa nyumba za watumishi katika Sekta ya Afya hasa maeneo yenye miundombinu duni ya usafiri kunakofanya watumishi kushindwa kukaa katika maeneo hayo, kumetajwa kuwa ni moja ya mambo yanayochangia kuongeza vifo vya wajawazito na watoto.
10 years ago
Habarileo13 Apr
Waishio nje ya nchi kutopiga kura
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya kufikiwa kwa hatua hiyo.
10 years ago
Habarileo04 Dec
Nusu ya wakazi Dar kutopiga kura Des. 14
ASILIMIA 42 ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam ndiyo waliojitokeza kujiandikisha kwa ajili ya upigaji kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Watishia kutopiga kura kwa kunyimwa ardhi
BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, mkoani Pwani, wamesema hawatashiriki kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni endapo jirani zao wa Mtaa wa Vingunguti...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zLlWbCPFzmo/VSqCYHH2IJI/AAAAAAABLLk/gi0jTpDHVuA/s72-c/Mizengo-Pinda.jpg)
PINDA - WATANZANIA WAISHIO NJE KUTOPIGA KURA OKTOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zLlWbCPFzmo/VSqCYHH2IJI/AAAAAAABLLk/gi0jTpDHVuA/s1600/Mizengo-Pinda.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya zoezi hilo kufanyika.
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Jumamosi, Aprili 11, 2015) wakati akizungumza na baadhi ya Watanzania waishio Uingereza kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini humo, Balozi Peter...