VAI ADAI HANA SIFA ZA MKE

Msanii wa filamu asiyeishiwa vituko, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’. Imelda Mtema KATIKA hali ya kushangaza, msanii wa filamu asiyeishiwa vituko, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amekiri kuwa tabia zake za kulewa kila siku zinamfanya kukosa sifa za kuwa mke wa mtu. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Vai alisema ameshazoea kupiga ulabu hata akiamka asubuhi, kitu kinachomshawishi kuamini kuwa ni vigumu kumpata...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KAMA HANA SIFA HIZI 5, USIKUBALI NDOA
10 years ago
GPL
MWANAMKE WA KUMUOA HANA SIFA ZA KUWA MPENZI
10 years ago
Bongo519 Oct
Quick Rocka adai hana tofauti na Nahreel
10 years ago
Bongo512 Apr
Wema Sepetu adai hana uwezo wa kuzaa, post yake yawaliza wengi!
10 years ago
Bongo508 Sep
Hamisa Mobetto adai kuzaa hakujamuondolea sifa zake za uanamitindo
10 years ago
GPL
MKE WA SHETTA ADAI TALAKA
11 years ago
GPL
MUME ADAI KUKIMBIWA NA MKE!
11 years ago
Bongo524 Aug
Jux: Vanessa Mdee ana kila sifa ya kuwa mke