Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hizi ndio sifa za mwanamke ambaye AY atataka kumuoa

Rapper Ambwene Yessaya aka AY amezitaja sifa za mwanamke ambaye atakuja kumuoa pindi muda ukifika. “Wanawake wazuri wapo wengi,” alisema” Nimekutana na wengi bali kuchagua mke sahihi ni kitu kinachohitaji busara na endapo nikisema niangalie uzuri wa mwanamke nitapoteza malengo yangu. Nahitaji mwanamke ambaye yupo smart kichwani,” AY aliliambia gazeti la mwananchi. Pia AY alisema […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAMKE WA KUMUOA HANA SIFA ZA KUWA MPENZI

YES! Ni Jumanne tena, wenye imani haba husema kwa kawaida Jumanne si siku yenye baraka kifedha! Si kweli! Mungu alipoumba mbingu na dunia aliziona siku zote saba ni njema ila matumizi yetu wanadamu ndiyo yana kasoro! Jumanne ya leo Mungu ameniwezesha kuwafikia tena, ninakuja na mada nzuri sana. Kwamba, Mwanamke wa Kumuoa Hana Sifa za Kuwa Mpenzi.Wengi wanaweza kupingana na huu utafiti wangu lakini nawaomba wasome mada hii mwanzo...

 

9 years ago

MillardAyo

Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa?

Katika maisha kila mtu ana malengo na mipango yake, hata tukija katika ishu za kutafuta mchumba au kuoa kila mtu ana vigezo vyake, basi mimekutana na kigezo cha mmoja kati ya rapper wakali kutoka Nigeria ambaye jina lake la kuzaliwa ni Jude Abaga ila mtaani anafahamika kama Mr Incredible (MI). MI Abaga ambaye ni CEO wa […]

The post Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa? appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

SIFA 8 ZA MWANAMKE AMBAYE NI ‘WIFE MATERIAL’!

Kuoa/kuolewa ni jambo muhimu sana katika maisha ya kila binadamu. Ndiyo maana inaelezwa kuwa, matukio makubwa muhimu katika maisha ya kila mtu ni kuzaliwa, ndoa na kufa!Kutokana na ukweli huo, vijana wengi wamekuwa wakitamani kuoa na kuolewa lakini utafiti mdogo nilioufanya unaonesha kwamba, wasichana wengi wamekuwa wakiitamani ile heshima ya kuolewa. Hawataki kuwa viruka njia, wanataka waipate ile raha ya ndoa, raha ya kuitwa...

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ndio sababu za ziara ya Avril ambaye yupo Tanzania

Mwimbaji wa Kenya Avril ambaye ameshirikishwa kwenye wimbo mpya wa Ben Pol – ‘Ningefanyaje’ yupo Tanzania. Miongoni mwa mambo yaliyomleta Bongo, ni pamoja na kufanya media tour na kuzindua wimbo mpya aliofanya na Ben Pol ambao umetoka Oct 24. Ben Pol na Avril wakiwa EA Radio wakitambulisha wimbo wao mpya Kwa mujibu wa Mpasho, Avril […]

 

9 years ago

MillardAyo

Good News: Rock City Mall imekamilika, hizi ndio sifa zake kubwa usizozijua…(+Audio)

Kwa mara nyingine tena nakusogezea stori kutokea Mwanza kuhusiana na jengo jipya la Rock City Mall ambalomiezi kadhaa iliyopita lilianza kuchukua headlines baada ya kuonekana ndio Shopping Mall kubwa kuwahi kujengwa katika jiji hilo. hapa nakukutanisha na Joseph Mlinzi kabibu wa kampuni iliyojenga jengo hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Good News: Rock City Mall imekamilika, hizi ndio sifa zake kubwa usizozijua…(+Audio) appeared first...

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

9 years ago

Vijimambo

ASKOFU KILAINI; SIFA KUU NNE ZA MGOMBEA AMBAYE ATAKUWA RAIS WA NCHI:



Askofu wa kanisa Katoliki,siku ya trh 26-09-2015 alinukuliwa akitaja sifa za mgombea anaepaswa kuchaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano Tanzania.1. Mwadilifuamesema nchi yetu ilipofika inahitaji mtu/rais ambaye anao uadilifu wa kweli na wa hali ya juu ili kuleta uongozi uliojaa uadilifu na nidhamu katika kuhakikisha kuwa watanzania wananufaika na kufurahia nchi yao na mambo yake yote.2. Uchapa kazi kwa vitendo na Nidhamu,nchi hii inayo rasilimali za kutosha ambapo zikitumika vyema watanzania...

 

9 years ago

MillardAyo

Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal …

Baada ya dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara kufungwa December 15, barani Ulaya ndio stori za usajili zinazidi kuchukua nafasi. December 31 stori kutoka mtandao wa 101greatgoals.com unaripoti klabu ya Arsenal ya Uingereza imekamilisha mipango ya usajili ya Mohamed Elneny. Dirisha dogo la usajili kwa nchi za Ulaya linafunguliwa January 1 klabu […]

The post Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal … appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Hizi ndizo sifa za mwalimu bora- 2

Katika makala iliyopita tuliangalia baadhi ya sifa anazotakiwa kuwa nazo mwalimu. Katika makala haya tutaendelea na sifa nyingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani