SIFA 8 ZA MWANAMKE AMBAYE NI ‘WIFE MATERIAL’!
![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulkTRUO0gT-y7isuNfCpXuMrd*hE5h2*7pAIPiIsNlDq2w5O8ds1tzooRLtPMh5mkWrosc63UqYaMkxO5lqJQYJc/Love.jpg?width=650)
Kuoa/kuolewa ni jambo muhimu sana katika maisha ya kila binadamu. Ndiyo maana inaelezwa kuwa, matukio makubwa muhimu katika maisha ya kila mtu ni kuzaliwa, ndoa na kufa!Kutokana na ukweli huo, vijana wengi wamekuwa wakitamani kuoa na kuolewa lakini utafiti mdogo nilioufanya unaonesha kwamba, wasichana wengi wamekuwa wakiitamani ile heshima ya kuolewa. Hawataki kuwa viruka njia, wanataka waipate ile raha ya ndoa, raha ya kuitwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Hizi ndio sifa za mwanamke ambaye AY atataka kumuoa
9 years ago
Bongo502 Dec
Video: Don Pol Ft. Mr. Amaizing – Wife Material
![vlcsnap-2015-12-02-09h06m06s138](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/vlcsnap-2015-12-02-09h06m06s138-300x194.png)
Video mpya ya msanii Don Pol wimbo unaitwa “Wife Material”, Amemshirikisha Mr. Amaizing video imeongzwa na kampuni ya King Maarifa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPL12 Sep
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
9 years ago
Vijimambo03 Oct
ASKOFU KILAINI; SIFA KUU NNE ZA MGOMBEA AMBAYE ATAKUWA RAIS WA NCHI:
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kilaini(2).jpg)
Askofu wa kanisa Katoliki,siku ya trh 26-09-2015 alinukuliwa akitaja sifa za mgombea anaepaswa kuchaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano Tanzania.1. Mwadilifuamesema nchi yetu ilipofika inahitaji mtu/rais ambaye anao uadilifu wa kweli na wa hali ya juu ili kuleta uongozi uliojaa uadilifu na nidhamu katika kuhakikisha kuwa watanzania wananufaika na kufurahia nchi yao na mambo yake yote.2. Uchapa kazi kwa vitendo na Nidhamu,nchi hii inayo rasilimali za kutosha ambapo zikitumika vyema watanzania...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa?
Katika maisha kila mtu ana malengo na mipango yake, hata tukija katika ishu za kutafuta mchumba au kuoa kila mtu ana vigezo vyake, basi mimekutana na kigezo cha mmoja kati ya rapper wakali kutoka Nigeria ambaye jina lake la kuzaliwa ni Jude Abaga ila mtaani anafahamika kama Mr Incredible (MI). MI Abaga ambaye ni CEO wa […]
The post Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa? appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz4IWs-zl9Q-7bAEAAKgFxDzuTG07g9RGQWsaJ2-5okZDnP1X2y0QWflvQ2zPw3ACUtbYAAlwhuCppvDKA4X3Hd-/mahaba.gif?width=650)
MWANAMKE WA KUMUOA HANA SIFA ZA KUWA MPENZI
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...