Hizi ndio sababu za ziara ya Avril ambaye yupo Tanzania
Mwimbaji wa Kenya Avril ambaye ameshirikishwa kwenye wimbo mpya wa Ben Pol – ‘Ningefanyaje’ yupo Tanzania. Miongoni mwa mambo yaliyomleta Bongo, ni pamoja na kufanya media tour na kuzindua wimbo mpya aliofanya na Ben Pol ambao umetoka Oct 24. Ben Pol na Avril wakiwa EA Radio wakitambulisha wimbo wao mpya Kwa mujibu wa Mpasho, Avril […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Hizi ndio sifa za mwanamke ambaye AY atataka kumuoa
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Mr Flavour yupo nje ya Nigeria, lakini hizi ndio stori zilizoenea Nigeria kuhusu yeye …
December 27 zimenifikia headlines za mkali wa hit singles za Ashaw, Golibe na Sweetie Mr Flavour, asubuhi ya December 27 ameingia katika headlines kwao Nigeria, baada ya kuaminika kuwa staa huyo yupo katika mipango ya kufunga ndoa ya siri siku ya Jumatatu ya December 28. Flavour anatajwa kutaka kumuoa babymama wake wa kwanza Sandra Okagbue kwa […]
The post Mr Flavour yupo nje ya Nigeria, lakini hizi ndio stori zilizoenea Nigeria kuhusu yeye … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao…
Wakenya wameanza mwaka wa 2016 kwa kuomba Watanzania waondolewe kwenye mtandaoa wa Instagram, mtandao maarufu wa kijamii! Watumiaji wa mtandao huo kutoka Kenya, wanadai Watanzania wamethibitisha kuwa hawawezi kutumia mtandao huo vizuri kutokana na lugha nzito inayotumiwa na Watanzania pamoja na tabia ya baadhi ya Watanzania kupost videos za utupu kwenye mtandao huo. Wakenya wengi […]
The post Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao… appeared first...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...
10 years ago
Vijimambo20 Sep
HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1907844_296860830516152_1936768200218849652_n.jpg?oh=3a3c6ce546a7a1c5416e1f3681005be1&oe=54CEAEDE&__gda__=1422949262_1d62cb09b57fa35cca6b5f8edd31248b)
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HIr13vdanzs/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Hizi ndio #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 8 Tanzania DECEMBER 18 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu yaTwitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa nimezikusanya zote zilizoguswa na #Tweets za #Magazeti Desemba 18, 2015, unazisoma zote kwa pamoja. Vigogo wa TRA wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi kutokana na upotevu wa makontena […]
The post Hizi ndio #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 8...
9 years ago
MichuziVOA AFRICA 54 YAFANYA MAHOJIANO NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA , AMBAYE YUPO WASHINGTON DC KWA AJILI YA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.