NEYMAR AANDIKA UJUMBE MREFU WA KUHUDHUNISHA KUOMBA RADHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xmZJdDQZQT0/VYmOwKSqhcI/AAAAAAAACLw/l1ugfOXM49w/s72-c/neymar-wiping-the-tears-of-his-face-after-crying.jpg)
Neymar ambae hivi karibuni amepigwa panga la kukosa mechi nne kwenye Copa America baada ya kitendo cha utovu wa nidhamu alichofanya kwenye mechi.Licha ya kuwa nje ya uwanja lakini bado anaendelea kuwa supporter mkubwa wa timu yake kwa kukaa jukwaani akishangilia timu yake.
Sasa baada ya kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu kujutia kitendo alichokifanya lakini bado ametumia muda mrefu kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kwa lugh ya kireno jinsi gani anazidi kujutia nafasi...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Usikubali kuomba radhi!
RAIS wangu sikubaliani na wote wanaokutaka uombe radhi kwa agizo lako uliloagiza! Uombe radhi kwa kosa lipi? Kusema "Acheni unyonge, uvumilivu una ukomo wake," si kauli ya kuomba radhi. Uombe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G8*m*ds1BkeC1*MnSMP0rslz9MrbdyKyn-ulnch1HWFFr8wQfIE9fx1gp2Pu2pX5pQNpDsCunR7iip7ceTl1h2b/facebook.jpg?width=650)
FACEBOOK YALAZIMIKA KUOMBA RADHI
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Joe Biden alazimika kuomba radhi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2ah*wHCgrwdLha4at2jQPrzYyYOy9BY1io6GCejEvMnu-vhXl82T*Brjv0h3vlrpQj5nSATDEIAIj8Bx8GXzH5H/222.jpg?width=650)
WASTARA AANDIKA HISTORIA
11 years ago
Mwananchi22 Jan
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Niler aandika historia Tanzania Top Model
MWANAMITINDO Niler Mruma (21), amefanya kisichotarajiwa na wengi baada ya kunyakua mataji yote matatu yaliyokuwa yakigombewa kwenye shindano la kwanza la Tanzania Top Model lililofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni...
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Fidel Castro aandika barua ya wazi Cuba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdaey0GJlNkSjXbqV1bEGkG2xg324epB5GpnuZ5dH5rtj8pQFmrPqwnV9N5Yx-eSGpW86PZflkj*1kvtRhqlwnO6/lulu.jpg)
SKENDO YA MASTAA KUHONGWA MAGARI: LULU AANDIKA HISTORIA
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Rais Kikwete aandika historia: Aanzisha ujenzi Daraja la Kilombero
Magari yakivuka juu ya daraja la muda la Mto Kilombero lililojengwa kurahisisha kazi za ujenzi wa daraja la kudumu katika wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro, wakati wa sherehe za uwekaji jiwe la msingi wa ujenzi wa darajan hilo na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Agosti 20, 2014.
Historia imeandikwa Jumatano, Agosti 20, 2014 katika Mkoa wa Morogoro na katika Tanzania. Kwa mara ya kwanza tokea enzi na enzi, magari yameweza kuvuka Mto wa Kilombero, moja ya mito mikubwa zaidi nchini, mpakani mwa...