Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fidel Castro aandika barua ya wazi Cuba

Rais wa zamani wa Cuba Fidel Castro ametimiza umri wa miaka 89 kwa kuandika barua ya wazi kwa taifa lake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MIKE TEE AANDIKA BARUA YA WAZI KWA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI NCHINI

Msanii wa muziki na CEO wa kampuni ya Showbiz Defined Media Company, Make Tee. Msanii wa muziki na CEO wa kampuni ya Showbiz Defined Media Company, Make Tee ameandika barua ya wazi kwa Watanzania wanaofanya muziki wa injili nchini. Barua hiyo inasomeka kama ifuatavyo:
Ninavyojua muziki wa kwaya unauza sana kuliko muziki wowote Tanzania , Matamasha yao yanajaza watu wengi sana kwasababu moja , hayachagui umri na pale watu wengi...

 

10 years ago

Mwananchi

Fidel Castro; mtoto wa ‘housegirl’ aliyekabili vigingi vingi kwenda Ikulu- 2

Wiki iliyopita tuliona Fidel Castro alikwama kwenye ndoto yake ya kugombea ubunge baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Generali Fulgencio Batista na kuvuruga demokrasia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hollande kukutana na Castro wa Cuba

Hollande anakuwa rais wa kwanza wa Ufaransa aliyeko madarakani kufika nchini cuba kwa zaidi ya karne moja iliyopita

 

9 years ago

Dewji Blog

Eric Shigongo aandika barua kali kwa CCM na Watanzania wote!

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi.

Ndugu zangu. Watanzania wenzangu,

Kwanza kabisa nawapongezeni kwa amani na utulivu mliouonyesha katika mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu ambao ulimalizika salama na hatimaye jana Rais wa Awamu wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli aliapishwa mbele ya macho yangu na ya Watanzania wengine wengi.

Hakika tumeuthibitishia ulimwengu kwamba, sisi Watanzania ni tofauti na wao, tunao uwezo wa kuvuka kwenye nyakati ngumu lakini bado...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barua ya wazi kwa Godfrey Mgimwa

BWANA mdogo Godfrey William Mgimwa, Kwanza nina kusalimu kwa kusema, habari za kampeni dogo? Baada ya kusoma mahali ambapo ulikaririwa ukisema kuwa unataka kuwaletea maendeleo watu wa Kalenga ambao baba...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Barua ya wazi kwa Rais Kikwete II

WABUNGE na Wawakilishi hawa wana nafasi ya kufanyia marekebisho Katiba ya sasa chini ya Ibara ya 98; lakini hawakuchaguliwa na mtu hata mmoja kuwa sehemu ya kuandika Katiba mpya ya...

 

11 years ago

GPL

BARUA YA WAZI YA MOYES KWENDA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED

Kocha wa Manchester United, David Moyes. Kocha wa Manchester United David Moyes ameandika barua ya wazi kwa mashabiki wa klabu hiyo akielezea kwamba msimu wake wa kwanza ndani ya klabu umekuwa m'bovu zaidi kuliko ilivyotegemewa. Akiwasifu mashabiki kwa uvumilivu wao, Mscotish ambaye aliteuliwa na Sir Alex Ferguson, amekiri kwamba matokeo yao mabovu yamemshangaza mpaka yeye lakini ana uhakika kila kitu kitakaa sawa mbeleni....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani