Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fidel Castro; mtoto wa ‘housegirl’ aliyekabili vigingi vingi kwenda Ikulu- 2

Wiki iliyopita tuliona Fidel Castro alikwama kwenye ndoto yake ya kugombea ubunge baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Generali Fulgencio Batista na kuvuruga demokrasia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

mtoto wa ‘housegirl’ aliyekabili vigingi vingi kwenda Ikulu- 2

Castro hakukubaliana na mapinduzi hayo na alikuwa miongoni mwa walioupinga utawala wa Batista na mara kadhaaa alijaribu kutumia sheria pasipo mafanikio.

 

9 years ago

BBCSwahili

Fidel Castro aandika barua ya wazi Cuba

Rais wa zamani wa Cuba Fidel Castro ametimiza umri wa miaka 89 kwa kuandika barua ya wazi kwa taifa lake.

 

10 years ago

Mwananchi

MTOTO WA HOUSEGIRL

Angel alikuwa ni mkulima wa miwa wa kipato cha kati aliyeishi katika Kitongoji cha Biran, mashariki mwa nchi hiyo pamoja na familia yake iliyokuwa na kijakazi aliyeitwa Lina Ruz Gonzalez.

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA RAILA ODINGA, FIDEL AFARIKI DUNIA NCHINI KENYA

Fidel Odinga enzi za uhai wake. MTOTO wa kwanza wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga, Fidel Odinga amefariki dunia leo alfajiri akiwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya. Chanzo cha kifo hicho bado hakijafahamika. Raila Odinga amethibitisha kifo hicho. Fidel alikimbizwa hospitali na mkewe baada ya kuwasili nyumbani majira ya saa 7 usiku wa kuamkia leo na kulalamika kuwa anapata shida katika upumuaji. Fidel na baba yake...

 

10 years ago

GPL

RAIS UHURU KENYATTA AHANI MSIBA WA MTOTO WA RAILA ODINGA, FIDEL ODINGA

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisaini kitabu cha maombolezo alipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Raila Odinga, Fidel Odinga aliyefariki jana. Kulia ni mke wa Odinga, Ida Odinga. Rais Uhuru Kenyatta akimpa pole aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga huko Karen, Kenya.…

 

9 years ago

Mwananchi

Kwenda Ikulu ni kazi

Kama ukubwa ni huu, wa kupelekeshwa mbiyo, Na kuwekwa roho juu, kila saa jakamoyo, Nawaacheni tuu, siukalifishi moyo, Ikulu nendeni nyinyi, mpendao uraisi.

 

10 years ago

Mtanzania

Monica Mbega ajihakikishia kwenda Ikulu

Na Francis Godwin, Iringa

WAKATI mbio za makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaowania nafasi ya kuteuliwa kugombea urais kupitia chama hicho zikiendelea kushika kasi, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Monica Mbega, jana ameingia mkoani hapa na kupata wadhamini 33.

Mwanamama huyo aliwataka Watanzania kutoaminishwa na mbwembwe za wagombea wenzake wanazofanya mikoani na kusema kuwa yeye ndiye rais wa awamu ya tano, huku akiwaomba Watanzania wamuunge mkono.

Mbega, ambaye alilazimika...

 

10 years ago

Mtanzania

Waliotembea km 1, 200 kwenda Ikulu wakamatwa

Pg 1

 

Na Elias Msuya
ILE safari ya zaidi ya kilometa 1,200 ya makada watatu wa Chadema kutoka mkoani Geita waliotaka kwenda Ikulu ya Dar es Salaam kumwona Rais Jakaya Kikwete, imeishia mikononi mwa polisi baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana, kuwazuia kuendelea na safari yao hadi watakapopata maelekezo.
Vijana hao, Khalid Selemani, Athanas Michael na Juma Maganga, walisema wameamua kutembea kwa miguu kwa siku 37 ili kumfikishia Rais Kikwete ujumbe wao kuhusu kupinga ufisadi,...

 

10 years ago

Mwananchi

Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015

Fukuto la kumpata mgombea wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupamba moto huku ikielezwa kuwa jina la mgombea litatajwa kabla ya Mei mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani