Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA HOUSEGIRL

Angel alikuwa ni mkulima wa miwa wa kipato cha kati aliyeishi katika Kitongoji cha Biran, mashariki mwa nchi hiyo pamoja na familia yake iliyokuwa na kijakazi aliyeitwa Lina Ruz Gonzalez.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

mtoto wa ‘housegirl’ aliyekabili vigingi vingi kwenda Ikulu- 2

Castro hakukubaliana na mapinduzi hayo na alikuwa miongoni mwa walioupinga utawala wa Batista na mara kadhaaa alijaribu kutumia sheria pasipo mafanikio.

 

10 years ago

Mwananchi

Fidel Castro; mtoto wa ‘housegirl’ aliyekabili vigingi vingi kwenda Ikulu- 2

Wiki iliyopita tuliona Fidel Castro alikwama kwenye ndoto yake ya kugombea ubunge baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Generali Fulgencio Batista na kuvuruga demokrasia.

 

11 years ago

Habarileo

Akana kumng'ata 'housegirl' wake

MKAZI wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam, Amina Maige(42) anayetuhumiwa kumng’ata mfanyakazi wake wa ndani, amepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali baada ya upelelezi wa kesi hiyo kukamilika.

 

11 years ago

Habarileo

Wakili kizimbani kwa kumjeruhi 'housegirl'

WAKILI wa kujitegemea, Yasinter Rwechungura (44) amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kujeruhi mfanyakazi wake wa ndani.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke adaiwa kumng'ata 'housegirl'

MWANAMKE aliyekuwa akituhumiwa kumng’ata msichana wake wa kazi sehemu mbalimbali za mwili , Amina Maige (42), mkazi wa Mwananyamala, Dar es Salaam amefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili.

 

11 years ago

IPPmedia

Kinondoni RPC orders arrest of tycoon over housegirl shooting


IPPmedia
Kinondoni RPC orders arrest of tycoon over housegirl shooting
IPPmedia
All the maid`s possessions...Debora struggles out of bed from her bedroom-cum-store in the recesses of tycoon Zakaria's residence. (File photo). Justice may soon come to Debora John, a housemaid once battered and left for dead by her former employer, city ...

 

11 years ago

GPL

MAMA MKUBWA WA MTOTO ALIYEUNGUA MOTO ATOWEKA NA MTOTO HUYO KUSIKO JULIKANA.‏

Huyu ndiye Mama mkubwa wa mtoto Adolotea Nyavike Bi. Salome Kiegu(35) ambaye ametoweka na mtoto huyo kusiko julikana wakati wasamalia wema wakitaka kutoa misaada kwa nototo huyo. Mtoto Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili…

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mtoto wa Lamar (Nisha) na mtoto wa Gelly wa Rhymes (Queen) nani mrembo zaidi?

Producer wa Fishcrab, Lamar na muimbaji Gelly wa Rhymes, ni miongoni mwa mastaa wenye watoto. Bahati nzuri wawili hao wana watoto wa kike warembo kweli kweli. Na sasa tunakuuliza, nani mrembo zaidi? Nisha wa Lamar au Queen wa Gelly? Queen Nisha Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani