Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015
Fukuto la kumpata mgombea wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupamba moto huku ikielezwa kuwa jina la mgombea litatajwa kabla ya Mei mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SPGCZr2DBbY/VQxpHa7gh3I/AAAAAAAHLus/PdaCDPSakj0/s72-c/PHO-10Sep21-253577.jpg)
TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA KUANZA TENA SAFARI ZAKE MACHI 24, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-SPGCZr2DBbY/VQxpHa7gh3I/AAAAAAAHLus/PdaCDPSakj0/s1600/PHO-10Sep21-253577.jpg)
Wananchi wanaotaka kusafiri wafike stesheni zilizo karibu yao kwa ajili ya kukata tiketi ya safari hiyo.
Huduma ya usafiri wa reli ilisitishwa wiki mbili zilizopita Machi 6, 2015 baada ya eneo la tuta la reli kati ya Stesheni za Kilosa na Kidete kukuharibiwa vibaya...
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Urais 2015: Ukawa waanza safari
10 years ago
Michuzi25 Jul
TAARIFAKUHUSU KUAHIRISHWA SAFARI YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA HADI KESHO JIONI JULAI 25, 2015
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika kuwataarifu wananchi na abiria waliokuwa wasafiri na treni ya leo Ijumaa Julai 24, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda bara kuwa safari hiyo imeahirishwa hadi kesho saa 11 jioni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea leo Ijumaa Julai 24, 2015 saa 8:15 alasiri maeneo ya Stesheni za Mazimbu –Mkata mkoani Morogoro ambapo ilihusisha mabehewa matano ya treni ya mizigo iliyokuwa...
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Ukawa yajizatiti kuelekea Ikulu 2015
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimedhamiria kudumisha ushirikiano wa vyama vinavyounda UKAWA kuhakikisha wanaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupata serikali itakayoondoa matabaka, uonevu na udhalilishaji pamoja na kupunguza umasikini kwa wananchi.
Maazimo hayo yalifikiwa katika kikao cha Baraza Kuu la Uongozi Taifa, CUF, kilichofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama.
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-enUrbINwEqA/VRK7cC3-dHI/AAAAAAAHNIQ/QL9EFp_U5GI/s72-c/unnamedmm.jpg)
SAFARI LAGER YATANGAZA BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALI SAFARI NYAMA CHOMA 2015 “DAR ONE"
![](http://2.bp.blogspot.com/-enUrbINwEqA/VRK7cC3-dHI/AAAAAAAHNIQ/QL9EFp_U5GI/s1600/unnamedmm.jpg)
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Kwenda Ikulu ni kazi
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s72-c/ATC+6.jpg)
ATCL yaanza safari za kwenda Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s1600/ATC+6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ifXMH8rB7nY/Uykfl8rXNyI/AAAAAAACc6g/rkYgWxy3jsw/s1600/ATC+7.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WXpoP3uxJtBW-I58Gx4ygwMMDTYrR7FpM--AO*LQ0UaiEq2GElx1kfVGHX3xHApUOyCez9LcWX6lJ4apn9JOD*/ATC1.jpg?width=650)
ATCL YAANZA SAFARI YA KWENDA MBEYA
10 years ago
Mtanzania03 Jan
Waliotembea km 1, 200 kwenda Ikulu wakamatwa
Na Elias Msuya
ILE safari ya zaidi ya kilometa 1,200 ya makada watatu wa Chadema kutoka mkoani Geita waliotaka kwenda Ikulu ya Dar es Salaam kumwona Rais Jakaya Kikwete, imeishia mikononi mwa polisi baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana, kuwazuia kuendelea na safari yao hadi watakapopata maelekezo.
Vijana hao, Khalid Selemani, Athanas Michael na Juma Maganga, walisema wameamua kutembea kwa miguu kwa siku 37 ili kumfikishia Rais Kikwete ujumbe wao kuhusu kupinga ufisadi,...