Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa yajizatiti kuelekea Ikulu 2015

lipumbaNA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimedhamiria kudumisha ushirikiano wa vyama vinavyounda UKAWA kuhakikisha wanaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupata serikali itakayoondoa matabaka, uonevu na udhalilishaji pamoja na kupunguza umasikini kwa wananchi.
Maazimo hayo yalifikiwa katika kikao cha Baraza Kuu la Uongozi Taifa, CUF, kilichofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama.
Akizungumza na waandishi wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI 2015: Ukawa haina kitu majimbo ya Handeni na Korogwe

Leo tunaendelea na uchambuzi wa Mkoa wa Tanga kwa kuangalia majimbo ya Handeni, Korogwe Mjini na Korogwe Vijijini.

 

10 years ago

Mwananchi

Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015

Fukuto la kumpata mgombea wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupamba moto huku ikielezwa kuwa jina la mgombea litatajwa kabla ya Mei mwakani.

 

10 years ago

Raia Mwema

Safari bado ndefu kuelekea Ikulu

KWANZA ninaomba radhi kwa safu hii kuadimika kwa takriban wiki mbili mfululizo.

Evarist Chahali

 

10 years ago

GPL

TUHUMA DHIDI YA LOWASSA KUMSAFISHIA NJIA KUELEKEA IKULU

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa. MOJA kati ya mambo wananchi wanatarajia kusikia katika vyombo vya habari ni kuhusu wagombea urais, hasa wale ambao tayari wameshatangaza nia ya kuwania kiti hicho, ni taarifa mpya kuhusu wao. Kwa lugha nyepesi ya msimu tunaweza kusema “habari ya mjini kwa sasa.” Hiyo inatokana na ukweli kwamba baada ya baadhi ya wagombea kufungiwa kujihusisha na ushawishi wa kisiasa kwa kipindi cha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL

Smalling-Vardy-Ozil-De-Bruyne

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.

Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.

Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;

Golikipa

Jack Butland -Stoke...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aondoka rasmi Ikulu na kuelekea kijijini Msoga

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiagana na watumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu wakati wakiondoka rasmi katika jumba hilo waliloishi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka 10 iliyopita na kurudi kijijini Msoga. kushoto kwake ni Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na watumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu wakati akiondoka rasmi katika jumba hilo...

 

10 years ago

Vijimambo

ANGALIA PICHA: BAWACHA WALIPOANDAMANA KUELEKEA IKULU, HALIMA MDEE AKAMATWA NA POLISI

Mwenyekiti wa BAWACHA ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe kupitia CHADEMA Halima Mdee akiwa katika maandamano akiwaongoza wanawake wenzake kuelekea Ikulu kumpelekea ujumbe Rais Jakaya Kikwete kwamba hasikubali kuweka saini Rasimu mpya iliyopitishwa juzi mjini Dodoma, maandamano hayo kabla hayajafika mbali walitawanywa na jeshi la polisi lililotumia maji ya kuwasha pamoja na kupigwa kwa waandamanaji na kumshika mwenyekiti huyo Halima Mdee pamoja na wafuasi wake na kupelekwa polisi Osterbay...

 

9 years ago

GPL

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU NA KUELEKEA KIJIJINI MSOGA LEO

 Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiagana na watumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu wakati wakiondoka rasmi katika jumba hilo waliloishi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka 10 iliyopita na kurudi kijijini Msoga. kushoto kwake ni Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli   Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete  akiagana na...

 

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU NA KUELEKEA KIJIJINI MSOGA LEO

 Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiagana na watumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu wakati wakiondoka rasmi katika jumba hilo waliloishi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka 10 iliyopita na kurudi kijijini Msoga. kushoto kwake ni Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete  akiagana na watumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu wakati akiondoka rasmi katika jumba hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani