Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUHUMA DHIDI YA LOWASSA KUMSAFISHIA NJIA KUELEKEA IKULU

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa. MOJA kati ya mambo wananchi wanatarajia kusikia katika vyombo vya habari ni kuhusu wagombea urais, hasa wale ambao tayari wameshatangaza nia ya kuwania kiti hicho, ni taarifa mpya kuhusu wao. Kwa lugha nyepesi ya msimu tunaweza kusema “habari ya mjini kwa sasa.” Hiyo inatokana na ukweli kwamba baada ya baadhi ya wagombea kufungiwa kujihusisha na ushawishi wa kisiasa kwa kipindi cha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

‘Tuhuma dhidi ya Nyalandu ni uzushi’


NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imesema tuhuma zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya vyombo vya habari dhidi ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, hazina ukweli na zimelenga kumchafua binafsi pamoja na wizara.
Pia imetoa ufananuzi wa tuhuma hizo zilizokuwa zikielekezwa kwa Nyalandu na kuonya kuwa, kuanzia sasa itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya wanaomchafua na kupaka matope utendaji kazi wake.
Hivi karibuni Nyalandu amekuwa akiandamwa na baadhi ya watu kwa kile kinachodaiwa kuwa ni...

 

10 years ago

Raia Mwema

Safari bado ndefu kuelekea Ikulu

KWANZA ninaomba radhi kwa safu hii kuadimika kwa takriban wiki mbili mfululizo.

Evarist Chahali

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa yajizatiti kuelekea Ikulu 2015

lipumbaNA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimedhamiria kudumisha ushirikiano wa vyama vinavyounda UKAWA kuhakikisha wanaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupata serikali itakayoondoa matabaka, uonevu na udhalilishaji pamoja na kupunguza umasikini kwa wananchi.
Maazimo hayo yalifikiwa katika kikao cha Baraza Kuu la Uongozi Taifa, CUF, kilichofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama.
Akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Salazar akana tuhuma dhidi yake

Kocha wa Mwanariadha Mo Farah amekana tuhuma za kukiuka sheria ya kupinga matumizi ya dawa zilizopigwa marufuku michezoni

 

10 years ago

Vijimambo

Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'


Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe

Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe

Katika kujitetea mbele ya Baraza la Maadili kuhusu tuhuma dhidi yake za kugawiwa mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Escrow, mbunge wa Sengerema Bwana William Ngeleja alisema kuwa ni kawaida wabunge kupewa misaada na wafanyabiashara na taasisi za umma. Katika Maelezo yake alirudia tuhuma za kipuuzi dhidi yangu zilizokwisha tolewa huko nyuma kwamba
1) nilipewa fedha na kampuni ya PAP na
2) nilipewa fedha na shirika la NSSF.

Nashambuliwa, tunashambuliwa!...

 

10 years ago

GPL

ZITTO KABWE: TUHUMA DHIDI YANGU ZICHUNGUZWE

Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe.   Katika kujitetea mbele ya Baraza la Maadili kuhusu tuhuma dhidi yake za kugawiwa mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Escrow, mbunge wa Sengerema Bwana William Ngeleja…

 

11 years ago

Mwananchi

Tuhuma nzito bungeni,ni za rushwa dhidi ya Waziri Mkuu Pinda

>Hali ya hewa jana ilichafuka kwenye Bunge la Katiba baada ya mjumbe Ezekiel Wenje kuwatuhumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda na baadhi ya mawaziri kuwa waliwahonga baadhi ya wajumbe wa kundi la 201

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani