TUHUMA DHIDI YA LOWASSA KUMSAFISHIA NJIA KUELEKEA IKULU
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa. MOJA kati ya mambo wananchi wanatarajia kusikia katika vyombo vya habari ni kuhusu wagombea urais, hasa wale ambao tayari wameshatangaza nia ya kuwania kiti hicho, ni taarifa mpya kuhusu wao. Kwa lugha nyepesi ya msimu tunaweza kusema “habari ya mjini kwa sasa.†Hiyo inatokana na ukweli kwamba baada ya baadhi ya wagombea kufungiwa kujihusisha na ushawishi wa kisiasa kwa kipindi cha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
‘Tuhuma dhidi ya Nyalandu ni uzushi’
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imesema tuhuma zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya vyombo vya habari dhidi ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, hazina ukweli na zimelenga kumchafua binafsi pamoja na wizara.
Pia imetoa ufananuzi wa tuhuma hizo zilizokuwa zikielekezwa kwa Nyalandu na kuonya kuwa, kuanzia sasa itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya wanaomchafua na kupaka matope utendaji kazi wake.
Hivi karibuni Nyalandu amekuwa akiandamwa na baadhi ya watu kwa kile kinachodaiwa kuwa ni...
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Safari bado ndefu kuelekea Ikulu
KWANZA ninaomba radhi kwa safu hii kuadimika kwa takriban wiki mbili mfululizo.
Evarist Chahali
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Ukawa yajizatiti kuelekea Ikulu 2015
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimedhamiria kudumisha ushirikiano wa vyama vinavyounda UKAWA kuhakikisha wanaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupata serikali itakayoondoa matabaka, uonevu na udhalilishaji pamoja na kupunguza umasikini kwa wananchi.
Maazimo hayo yalifikiwa katika kikao cha Baraza Kuu la Uongozi Taifa, CUF, kilichofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama.
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Salazar akana tuhuma dhidi yake
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s72-c/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s640/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Mar
Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe
Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe
Katika kujitetea mbele ya Baraza la Maadili kuhusu tuhuma dhidi yake za kugawiwa mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Escrow, mbunge wa Sengerema Bwana William Ngeleja alisema kuwa ni kawaida wabunge kupewa misaada na wafanyabiashara na taasisi za umma. Katika Maelezo yake alirudia tuhuma za kipuuzi dhidi yangu zilizokwisha tolewa huko nyuma kwamba
1) nilipewa fedha na kampuni ya PAP na
2) nilipewa fedha na shirika la NSSF.
Nashambuliwa, tunashambuliwa!...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJWsq-yWg5U10eetpUsUCOe9t2j-Mhg7vtYEwCGj2Khr3NAsk6DUcCxzlUYHbF6aiabluYxf6yv9WarCAdvWhz*/zkwasanii2.jpg?width=750)
ZITTO KABWE: TUHUMA DHIDI YANGU ZICHUNGUZWE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZleUors0eTY/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Tuhuma nzito bungeni,ni za rushwa dhidi ya Waziri Mkuu Pinda