‘Tuhuma dhidi ya Nyalandu ni uzushi’
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imesema tuhuma zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya vyombo vya habari dhidi ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, hazina ukweli na zimelenga kumchafua binafsi pamoja na wizara.
Pia imetoa ufananuzi wa tuhuma hizo zilizokuwa zikielekezwa kwa Nyalandu na kuonya kuwa, kuanzia sasa itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya wanaomchafua na kupaka matope utendaji kazi wake.
Hivi karibuni Nyalandu amekuwa akiandamwa na baadhi ya watu kwa kile kinachodaiwa kuwa ni...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Nov
Nyalandu: Taarifa za kufukuza Wamasai Loliondo ni uzushi
SERIKALI imesema haina mpango, haifikirii na wala haijaidhinisha kuwafukuza Wamasai zaidi ya 40,000 walioko katika eneo la Loliondo mkoani Arusha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMqOXcq8L3g1dgdMV-wHS3Orr6llowhjuTFn8rMkQl-gFQ6rJFVbnLUFZF*PGwA2rsf73pfXWcTmwliak7gbLRL/babuseyarufaa2.jpg)
TAARIFA RASMI KUTOKA JESHI LA MAGEREZA DHIDI YA UZUSHI KUWA BABU SEYA NA MWANAE WAMEACHIWA HURU
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Salazar akana tuhuma dhidi yake
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZleUors0eTY/default.jpg)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Mar
Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe
Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe
Katika kujitetea mbele ya Baraza la Maadili kuhusu tuhuma dhidi yake za kugawiwa mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Escrow, mbunge wa Sengerema Bwana William Ngeleja alisema kuwa ni kawaida wabunge kupewa misaada na wafanyabiashara na taasisi za umma. Katika Maelezo yake alirudia tuhuma za kipuuzi dhidi yangu zilizokwisha tolewa huko nyuma kwamba
1) nilipewa fedha na kampuni ya PAP na
2) nilipewa fedha na shirika la NSSF.
Nashambuliwa, tunashambuliwa!...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJWsq-yWg5U10eetpUsUCOe9t2j-Mhg7vtYEwCGj2Khr3NAsk6DUcCxzlUYHbF6aiabluYxf6yv9WarCAdvWhz*/zkwasanii2.jpg?width=750)
ZITTO KABWE: TUHUMA DHIDI YANGU ZICHUNGUZWE
10 years ago
Habarileo08 May
Nyalandu ataka nguvu zaidi dhidi ya majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amewataka askari wa Wanyamapori nchini na watendaji wa wizara yake kuongeza nguvu zaidi kwenye mapambano dhidi ya ujangili.
10 years ago
GPLTUHUMA DHIDI YA LOWASSA KUMSAFISHIA NJIA KUELEKEA IKULU
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Tuhuma nzito bungeni,ni za rushwa dhidi ya Waziri Mkuu Pinda