ATCL YAANZA SAFARI YA KWENDA MBEYA
![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WXpoP3uxJtBW-I58Gx4ygwMMDTYrR7FpM--AO*LQ0UaiEq2GElx1kfVGHX3xHApUOyCez9LcWX6lJ4apn9JOD*/ATC1.jpg?width=650)
Kaimu mkurugenzi wa  biashara na masoko wa shirika la ndege la Air Tanzania, Juma Boma (wa pili kulia) akipanda ndege mpya aina ya CRJ-200 katika uwanja wa ndege Julius Nyerere muda mfupi kabla ya kuondoka kwenda uwanja wa ndege wakimataifa wa Songwe. Shirika hilo limeanza safari zake kwenda Mbeya ambapo itaruka mara nne kwa wiki.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s72-c/ATC+6.jpg)
ATCL yaanza safari za kwenda Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s1600/ATC+6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ifXMH8rB7nY/Uykfl8rXNyI/AAAAAAACc6g/rkYgWxy3jsw/s1600/ATC+7.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
ATCL yaanza safari za MbeyaÂ
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua safari za kwenda mkoani Mbeya kupitia Uwanja mpya wa Ndege wa kimataifa wa Songwe likitumia ndege yake mpya yenye uwezo wa kubeba abiria...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
ATCL yarejesha safari za Burundi
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua rasmi huduma za usafiri wa anga kutoka Dar es Salaam kuelekea Burundi kupitia Kigoma. Hatua hiyo imekuja baada ya hali ya amani kutengamaa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UehTrhgxLSY/VdMHsg4vSVI/AAAAAAAC9tI/02B1CpI6YhE/s72-c/ATCL%2BPIC%2B1.jpg)
ATCL yarejesha safari zake kuelekea Mwanza.
![](http://3.bp.blogspot.com/-UehTrhgxLSY/VdMHsg4vSVI/AAAAAAAC9tI/02B1CpI6YhE/s640/ATCL%2BPIC%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-A4rA8RC8Wo8/VdMHq1ltV0I/AAAAAAAC9tA/QEX1EPDtTes/s640/ATCL%2BPIC%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S0UD0HwRYR8/VWftbLm0TmI/AAAAAAAHahg/hMwqGHBaT7Y/s72-c/unnamed.jpg)
ATCL yaongeza safari zake visiwa vya Comoro.
![](http://1.bp.blogspot.com/-S0UD0HwRYR8/VWftbLm0TmI/AAAAAAAHahg/hMwqGHBaT7Y/s640/unnamed.jpg)
SHIRIKA la ndege la taifa (ATCL) limetangaza uamuzi wake wa kuongeza idadi ya safari zake kuelekea visiwa vya Comoro hatua inayolenga kuendana na ongezeko la mahitaji ya huduma za shirika hilo hususani katika kuelekea kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kwa sasa shirika hilo linatoa huduma zake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kigoma na Mtwara kila siku. Sambamba na kutoa huduma...
10 years ago
Habarileo18 Dec
UBT yaanza kuchemka safari za mikoani
KUELEKEA Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, huduma ya usafiri wa mabasi katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo imeanza kuwa ngumu kutokana na mabasi kwenda katika baadhi ya mikoa mbalimbali kujaa na hivyo kuanza kuleta usumbufu miongoni mwa wasafiri.
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Treni mpya yaanza safari za Mwanza
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
TRENI mpya ya kisasa ya Deluxe jana imeanza safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea Mwanza.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Meneja Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), Midladjy Maez, alisema safari hii ni ya pili tangu treni hiyo izinduliwe Aprili Mosi mwaka huu ambapo ilikwenda Kigoma.
“Safari za Delux zitakuwa kwa wiki mara moja, siku ya Jumapili itaondoka stesheni ya Dar es Salaam saa 2:00 usiku ikiwa na mabehewa 15.
“Treni hiyo itakuwa na...
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Mabasi ya kasi yaanza safari za majaribio