UBT yaanza kuchemka safari za mikoani
KUELEKEA Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, huduma ya usafiri wa mabasi katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo imeanza kuwa ngumu kutokana na mabasi kwenda katika baadhi ya mikoa mbalimbali kujaa na hivyo kuanza kuleta usumbufu miongoni mwa wasafiri.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0rmqsATrDEQ/VIAN6WiivJI/AAAAAAAG1II/D4jTtPM4r3o/s72-c/fb9a98852fbf5d4dfe314793ef198f60.jpg)
SUMATRA yaanza ukaguzi wa tiketi katika mabasi yaendayo mikoani
![](http://4.bp.blogspot.com/-0rmqsATrDEQ/VIAN6WiivJI/AAAAAAAG1II/D4jTtPM4r3o/s1600/fb9a98852fbf5d4dfe314793ef198f60.jpg)
SUMATRA imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa kuna baadhi ya vyombo vya usafiri hasa mabasi ya Mikoani kuwa na tabia ya kuongeza nauli hasa katika kipindi hiki cha msimu sikukuu za Krismas na Mwaka mpya,ambapo mapema leo asubuhi maafisa wa Mamlaka ya Usafirishaji Tanzania (SUMATRA) walitia timu katika...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
ATCL yaanza safari za MbeyaÂ
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua safari za kwenda mkoani Mbeya kupitia Uwanja mpya wa Ndege wa kimataifa wa Songwe likitumia ndege yake mpya yenye uwezo wa kubeba abiria...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s72-c/ATC+6.jpg)
ATCL yaanza safari za kwenda Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s1600/ATC+6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ifXMH8rB7nY/Uykfl8rXNyI/AAAAAAACc6g/rkYgWxy3jsw/s1600/ATC+7.jpg)
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Mabasi ya kasi yaanza safari za majaribio
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WXpoP3uxJtBW-I58Gx4ygwMMDTYrR7FpM--AO*LQ0UaiEq2GElx1kfVGHX3xHApUOyCez9LcWX6lJ4apn9JOD*/ATC1.jpg?width=650)
ATCL YAANZA SAFARI YA KWENDA MBEYA
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Treni mpya yaanza safari za Mwanza
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
TRENI mpya ya kisasa ya Deluxe jana imeanza safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea Mwanza.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Meneja Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), Midladjy Maez, alisema safari hii ni ya pili tangu treni hiyo izinduliwe Aprili Mosi mwaka huu ambapo ilikwenda Kigoma.
“Safari za Delux zitakuwa kwa wiki mara moja, siku ya Jumapili itaondoka stesheni ya Dar es Salaam saa 2:00 usiku ikiwa na mabehewa 15.
“Treni hiyo itakuwa na...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
AFC yaanza safari kurejea Ligi Kuu
TIMU ya AFC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Arusha baada ya kuipa kipigo cha mbwa mwizi Laibon ya Longido kwa mabao 9-1 katika mchezo wa mwisho wa hatua ya...
10 years ago
GPLSAFARI ALL AFRICA TOURNAMENT YAANZA LEO DAR