Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabasi ya kasi yaanza safari za majaribio

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amezindua rasmi mafunzo maalumu ya madereva wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), mradi unaotekelezwa jijini hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MABASI YAENDAYO KASI YAKIWA KWENYE MAJARIBIO JIJINI DAR

Mmoja ya basi la mwendo kasi likikatiza mtaa wa Lumumba ikiwa sehemu ya majaribio ya mabasi hayo ambayo yanaaminika yataondoa kabisa tatizo la usafiri katika jiji la Dar es Salaam.

 

5 years ago

Michuzi

MELI YA MV VICTORIA-HAPA KAZI TU YAANZA SAFARI YAKE MAJARIBIO

 Meli ya MV VICTORIA iliyokuwa ikifanyiwa ukarabati leo tarehe 28 June, 2020 ikiwa imeanza majaribio baada ya zaidi ya miaka 5 ya kuharibika. Safari ya kwanza ya majaribio kuelekea Bukoba yamefanyika jijini  Mwanza.







 

9 years ago

Mtanzania

Barabara ya mabasi yaendayo kasi yaanza kuwekwa viraka

asteria-may20-2014(1)Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

HUKU ikiwa bado haijaanza kutumika, barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi (Dart), imeanza kuwekwa viraka, hali ambayo imesababisha msongamano wa magari katika barabara za Morogoro, Mandela na Samnujoma, jijini Dar es Salaam.

Viraka hivyo vimeanza kuwekwa kwenye barabara hiyo eneo la Ubungo  ambalo linaunganisha barabara hizo zilizokumbwa na misururu mirefu ya magari jana.

Mradi huo ulitakiwa kukabidhiwa tangu Oktoba mwaka huu  ili mabasi hayo yaweze...

 

10 years ago

Mwananchi

Chanjo ya ebola yaanza kufanyiwa majaribio

Chanjo ya kwanza ya ugonjwa wa ebola imefanyiwa majaribio kwa watu wazima 20 nchini Marekani huku Shirika la Afya Ulimwenguni likihitimisha mkutano wake wa siku mbili Geneva, Uswisi.

 

10 years ago

Habarileo

Miundombinu mabasi ya kasi 85%

Mtendaji Mkuu wa DART, Asteria MlamboKAZI ya ujenzi wa miundombinu ya Mradi wa Mabasi ya Kasi (DART) awamu ya kwanza, imefikia asilimia 85 na kugharimu dola za Marekani milioni 325.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabasi ya kasi yawatisha wenye daladala

WAMILIKI wa daladala Mkoa wa Dar es Salaam (Darcoboa), wamesema mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART), unalenga kuwaondoa katika biashara ya usafirishaji abiria. Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es...

 

10 years ago

Habarileo

Mkataba wasainiwa mabasi ya kasi kuanza

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa GhasiaMIEZI imeanza kuhesabika kabla ya huduma ya usafiri kupitia mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam kuanza, baada ya mkataba kusainiwa kati ya serikali na wamiliki wa daladala kwa ajili ya kuendesha katika kipindi cha mpito.

 

11 years ago

Habarileo

Wawekezaji wa mradi wa mabasi ya kasi kukutana

RAIS Jakaya Kikwete, anatarajiwa kuongoza mkutano wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi ya Haraka (DART), utakaowakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani