Mabasi ya kasi yaanza safari za majaribio
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amezindua rasmi mafunzo maalumu ya madereva wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), mradi unaotekelezwa jijini hapa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d1eE7lQ1U**2JDN5DZZ5MVAMLC0FBRqlRqARJRZnB1Pn9FykSLmeQ27aBmxL6aIsdpqB3Of9DBKxRWSiU8C*WY6/2.jpg)
MABASI YAENDAYO KASI YAKIWA KWENYE MAJARIBIO JIJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uxTQBfhMhmw/Xvg4dmIYElI/AAAAAAALvuw/HXeGwjujqvQOCUT4WrkMsCkkZUFqIl-lACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.44%2BAM.jpeg)
MELI YA MV VICTORIA-HAPA KAZI TU YAANZA SAFARI YAKE MAJARIBIO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uxTQBfhMhmw/Xvg4dmIYElI/AAAAAAALvuw/HXeGwjujqvQOCUT4WrkMsCkkZUFqIl-lACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.44%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bchG91fxRno/Xvg4dis2q2I/AAAAAAALvu0/cnyVJYOyPrgF-ymMjCEbw1rVolNtcwQYQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.45%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rdQSVMHofVw/Xvg4diuuVCI/AAAAAAALvu4/MlPZ-GSrwbYyVj1Evorx7v-9TlbhaALAQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.46%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QsUu9HnElow/Xvg4erUn_qI/AAAAAAALvu8/_h3-WIpND6QEX7xkKltCJUnWOfIDg0PjACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.46%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3BmnuNBf5Q8/Xvg4e6b_-eI/AAAAAAALvvA/SL6jV2FS4l0zMXHgzW3XaQdRlpTvjjJ_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.47%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LyOPIDPeog0/Xvg4fEXi1VI/AAAAAAALvvE/w4wE4S9x5MIO8-CSJxjZAlci1BA89eWqQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.48%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ualu4xieKNM/Xvg4f9kHDCI/AAAAAAALvvI/nv3jKYsXtvwMgg89QCinfsdsxYapYYR-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.49%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ekIcAAsjCU0/Xvg4gDZPwMI/AAAAAAALvvM/VLPQjAL1pKc0E3iR0PkE0dp2rosZE7EAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.50%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PiXVdY9897o/Xvg4gImwRsI/AAAAAAALvvQ/O93FygYmuPot60xWjjYhXLVRKG8xWI7qQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.50%2BAM.jpeg)
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Barabara ya mabasi yaendayo kasi yaanza kuwekwa viraka
Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
HUKU ikiwa bado haijaanza kutumika, barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi (Dart), imeanza kuwekwa viraka, hali ambayo imesababisha msongamano wa magari katika barabara za Morogoro, Mandela na Samnujoma, jijini Dar es Salaam.
Viraka hivyo vimeanza kuwekwa kwenye barabara hiyo eneo la Ubungo ambalo linaunganisha barabara hizo zilizokumbwa na misururu mirefu ya magari jana.
Mradi huo ulitakiwa kukabidhiwa tangu Oktoba mwaka huu ili mabasi hayo yaweze...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Chanjo ya ebola yaanza kufanyiwa majaribio
10 years ago
Habarileo04 Jul
Miundombinu mabasi ya kasi 85%
KAZI ya ujenzi wa miundombinu ya Mradi wa Mabasi ya Kasi (DART) awamu ya kwanza, imefikia asilimia 85 na kugharimu dola za Marekani milioni 325.
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Mabasi ya kasi yawatisha wenye daladala
WAMILIKI wa daladala Mkoa wa Dar es Salaam (Darcoboa), wamesema mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART), unalenga kuwaondoa katika biashara ya usafirishaji abiria. Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es...
10 years ago
Habarileo27 Apr
Mkataba wasainiwa mabasi ya kasi kuanza
MIEZI imeanza kuhesabika kabla ya huduma ya usafiri kupitia mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam kuanza, baada ya mkataba kusainiwa kati ya serikali na wamiliki wa daladala kwa ajili ya kuendesha katika kipindi cha mpito.
11 years ago
Habarileo20 May
Wawekezaji wa mradi wa mabasi ya kasi kukutana
RAIS Jakaya Kikwete, anatarajiwa kuongoza mkutano wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi ya Haraka (DART), utakaowakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City jijini Dar es Salaam.