Miundombinu mabasi ya kasi 85%
KAZI ya ujenzi wa miundombinu ya Mradi wa Mabasi ya Kasi (DART) awamu ya kwanza, imefikia asilimia 85 na kugharimu dola za Marekani milioni 325.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
5 years ago
MichuziDkt Kigwangalla aridhishwa na kasi ya ukarabati wa Miundombinu ya Utalii.
Mwandishi wetu NCAA.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameridhishwa na kasi ya ukarabati wa barabara za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) zilizokuwa zimeathiriwa na mvua na kuwahakikishia wadau wa utalii kuwa eneo hilo liko salama kwa wageni kufanya utalii bila shida yoyote.
Dkt. Kigwangalla ametoa kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya NCAA ambapo ametumia fursa hiyo kutembelea kreta ya Ngorongoro iliyokuwa na changamoto ya...
9 years ago
MichuziKatibu Mkuu Tamisemi akagua miundombinu ya mfumo wa Mabasi yaendayo haraka
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wrLkZt76zD4/VToJnyL3WII/AAAAAAAHS4c/PfhX6OIwn1Y/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Tanzania kuboresha Miundombinu yake ili kuongeza kasi ya Uwekezaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-wrLkZt76zD4/VToJnyL3WII/AAAAAAAHS4c/PfhX6OIwn1Y/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D2ZOysWUZUE/VToJn7-DcqI/AAAAAAAHS4g/PgbVaEiris8/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
11 years ago
Habarileo20 May
Wawekezaji wa mradi wa mabasi ya kasi kukutana
RAIS Jakaya Kikwete, anatarajiwa kuongoza mkutano wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi ya Haraka (DART), utakaowakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Mabasi ya kasi yawatisha wenye daladala
WAMILIKI wa daladala Mkoa wa Dar es Salaam (Darcoboa), wamesema mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART), unalenga kuwaondoa katika biashara ya usafirishaji abiria. Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es...
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Mabasi ya kasi yaanza safari za majaribio
10 years ago
Habarileo27 Apr
Mkataba wasainiwa mabasi ya kasi kuanza
MIEZI imeanza kuhesabika kabla ya huduma ya usafiri kupitia mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam kuanza, baada ya mkataba kusainiwa kati ya serikali na wamiliki wa daladala kwa ajili ya kuendesha katika kipindi cha mpito.