Katibu Mkuu Tamisemi akagua miundombinu ya mfumo wa Mabasi yaendayo haraka
Katibu Mkuu Ofisini ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Bw. Jumanne Sagini (kushoto) akimweleza jambo Mwenyekiti wa Kampuni ya UDA-RT, Bw. Robert Kisena wakati alipofanya ziara kwenye miundombinu ya mfumo wa Mabasi yaendayo haraka kabla kipindi cha mpito hakijaanza mwezi ujao mwisho mwa wiki. UDA-RT ndiyo kampuni itayotoa huduma ya usafiri katika kipindi hicho na tayari imeshanunua mabasi 140.
Katibu Mkuu Ofisini ya Waziri Mkuu anayeshughulikia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Jingine jipya la Waziri mkuu Majaliwa kwenye mabasi yaendayo Haraka Dar es salaam
December 19 2015 Waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alifanya ziara nyingine kutazama walikofikia wanaomalizia ujezi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es salaam, tazama hii video hapa chini nimekuwekea kila kitu.
The post Jingine jipya la Waziri mkuu Majaliwa kwenye mabasi yaendayo Haraka Dar es salaam appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s72-c/New%2BPicture.png)
MHANDISI RONALD LWAKATARE ATEULIWA KUWA KAIMU MTENDAJI MKUU WA WAKALA WA MABASI YAENDAYO HARAKA DAR ES SALAAM (DART).
![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s1600/New%2BPicture.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yJAGhtU4gAs/Vf6bOiCejDI/AAAAAAAH6Rk/QXlbDbF8TM8/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam
9 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu wa TAMISEMI akagua hali ya mazingira ya soko la Temeke Sterio, jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-3g2gtthl8oo/VmGEoI-lFxI/AAAAAAAIKKo/xzNWNlVk2u0/s640/5.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Mabasi 138 yaendayo haraka yatua Dar
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Siku nane pasua kichwa za mabasi yaendayo haraka
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yqQX05h_6q8/U_4Km5tRw_I/AAAAAAAGCrc/51fs44ZtkNM/s72-c/GHASIA.jpg)
Serikali yalidhishwa na maendelea ya mradi wa mabasi yaendayo haraka
![](http://1.bp.blogspot.com/-yqQX05h_6q8/U_4Km5tRw_I/AAAAAAAGCrc/51fs44ZtkNM/s1600/GHASIA.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam hivi...
10 years ago
MichuziDART YARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA