Barabara ya mabasi yaendayo kasi yaanza kuwekwa viraka
Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
HUKU ikiwa bado haijaanza kutumika, barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi (Dart), imeanza kuwekwa viraka, hali ambayo imesababisha msongamano wa magari katika barabara za Morogoro, Mandela na Samnujoma, jijini Dar es Salaam.
Viraka hivyo vimeanza kuwekwa kwenye barabara hiyo eneo la Ubungo ambalo linaunganisha barabara hizo zilizokumbwa na misururu mirefu ya magari jana.
Mradi huo ulitakiwa kukabidhiwa tangu Oktoba mwaka huu ili mabasi hayo yaweze...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTASWIRA YA UJENZI WA BARABARA YA MABASI YAENDAYO KASI
11 years ago
Michuzi07 Mar
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9AyMq3D_LQ0/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zX_90Q8EEHw/UxCOrHhgxAI/AAAAAAAFQSE/FDJmBi1IL2o/s72-c/unnamed+(45).jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
10 years ago
GPLUJENZI STENDI YA MABASI YAENDAYO KASI WAENDELEA
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mabasi yaendayo kasi kuanza kutoa huduma
WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Dar imejipangaje usafiri wa mabasi yaendayo kasi?
9 years ago
Habarileo03 Jan
Wadau kujadili nauli mabasi yaendayo kasi
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) wiki ijayo inakutana na wadau kujadili nauli zitakazotumika kwa mabasi yaendayo kasi.