ATCL yarejesha safari za Burundi
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua rasmi huduma za usafiri wa anga kutoka Dar es Salaam kuelekea Burundi kupitia Kigoma. Hatua hiyo imekuja baada ya hali ya amani kutengamaa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziATCL yarejesha safari zake kuelekea Mwanza.
Abiria wakipanda kwenye ndege ya Shirika la Ndege la Taifa, Air Tanzania (ATCL) aina ya CRJ-200 tayari kuelekea Mwanza katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Jumamosi jioni baada ya shirika hilo kurejesha safari zake kati ya Dar es Salaam na Mwanza baada ya kusimamisha safari hizo tangu mwezi Agosti mwaka jana. Shirika hilo litafanya safari zake kati ya majiji hayo mawili mara mbili kwa siku katika siku zote saba za wiki. Abiria wakishuka toka kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Ndege ATCL yarejesha imani kwa abiria
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limeweka rekodi ya ongezeko la abiria kwa asilimia 57 wiki chake baada ya kupokea ndege ya kukodi yenye uwezo wa kubeba abiria 50 aina...
11 years ago
MichuziNdege ya CRJ-200 yaboresha utendaji wa ATCL, yarejesha imani kwa abiria
Aidha, shirika hilo limeweza kutoa nauli maalum kwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
ATCL yaanza safari za MbeyaÂ
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua safari za kwenda mkoani Mbeya kupitia Uwanja mpya wa Ndege wa kimataifa wa Songwe likitumia ndege yake mpya yenye uwezo wa kubeba abiria...
11 years ago
MichuziATCL yaanza safari za kwenda Mbeya
11 years ago
GPLATCL YAANZA SAFARI YA KWENDA MBEYA
10 years ago
MichuziATCL yaongeza safari zake visiwa vya Comoro.
SHIRIKA la ndege la taifa (ATCL) limetangaza uamuzi wake wa kuongeza idadi ya safari zake kuelekea visiwa vya Comoro hatua inayolenga kuendana na ongezeko la mahitaji ya huduma za shirika hilo hususani katika kuelekea kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kwa sasa shirika hilo linatoa huduma zake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kigoma na Mtwara kila siku. Sambamba na kutoa huduma...
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Bocco, Moris watemwa safari ya Burundi
Timu ya Taifa, Taifa Stars
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kimeondoka leo alfajiri kuelekea mjini Bujumbura, kwa ajili ya kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyo katika Kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) dhidi ya Burundi, huku wachezaji sita wakitemwa katika safari hiyo.
Wachezaji hao waliotemwa katika msafara huo kwa ajili ya mechi itakayochezwa Jumapili mjini humo, ni John Bocco, Aggrey Morris, Mwagane Yeya, Edward...
11 years ago
GPLAIR TANZANIA YARUDISHA SAFARI ZA NDEGE ZA KWENDA BURUNDI