Bocco, Moris watemwa safari ya Burundi
Timu ya Taifa, Taifa Stars
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kimeondoka leo alfajiri kuelekea mjini Bujumbura, kwa ajili ya kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyo katika Kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) dhidi ya Burundi, huku wachezaji sita wakitemwa katika safari hiyo.
Wachezaji hao waliotemwa katika msafara huo kwa ajili ya mechi itakayochezwa Jumapili mjini humo, ni John Bocco, Aggrey Morris, Mwagane Yeya, Edward...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wGupZUehf98/XmlOvRMFYJI/AAAAAAALisk/Vxkekv-IIckFMYe_TSnNGYjCJooD3xUQACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv5a8b37a9a4f1l346_800C450.jpg)
Wagombea 6 wa urais nchini Burundi waidhinishwa, 4 watemwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-wGupZUehf98/XmlOvRMFYJI/AAAAAAALisk/Vxkekv-IIckFMYe_TSnNGYjCJooD3xUQACLcBGAsYHQ/s640/4bv5a8b37a9a4f1l346_800C450.jpg)
Miongoni mwa wagombea walioidhinishwa na CENI ni Jenerali Evariste Ndayishimiye, Katibu Mkuu wa chama tawala cha CNDD-FDD na kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha National Congress for Liberty (CNL) Agathon Rwasa; wawili hao wanatazamiwa kuchuana vikali kwenye uchaguzi huo.
Hata hivyo CENI imetupilia mbali faili la aliyekuwa rais wa Burundi...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
ATCL yarejesha safari za Burundi
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua rasmi huduma za usafiri wa anga kutoka Dar es Salaam kuelekea Burundi kupitia Kigoma. Hatua hiyo imekuja baada ya hali ya amani kutengamaa...
11 years ago
GPLAIR TANZANIA YARUDISHA SAFARI ZA NDEGE ZA KWENDA BURUNDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iV1qS3pYI5To6wSGGqSuSR7diHOxJyg7fMFNUEpHrFJjvu1APwmgEWvaFkyQBBTc5SFVAOzCYOyfAxNnCL422t5/oiooo.jpg)
Tegete, Mrwanda watemwa Yanga
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Nyota watano watemwa Taifa Stars
10 years ago
Mwananchi13 May
Cannavaro, Kiemba watemwa Taifa Stars
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5pX7b1PS8acfkmHUvwzbPDwyxWKlD-0ZhrcAFeru7xuzuSKb1VCQPYiHyGqznsH3I1Gfpu2om04pjMPI5z7nn-/IvoMapunda6.jpg?width=640)
IVO, CANNAVARO WATEMWA STARS, MAKIPA WOTE WA AZAM WACHUKULIWA
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Bocco kuikosa Mtibwa Jumamosi
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Bocco atambia mafanikio Azam FC
NAHODHA wa Azam FC, John Rafael Bocco ‘Adebayor’ametambia rekodi na mafanikio ya kikosi chake, huku akiitaja namba 19 kuwa ni namba ya bahati katika maisha yake ya soka Azam Complex,...