AIR TANZANIA YARUDISHA SAFARI ZA NDEGE ZA KWENDA BURUNDI
Meneja Rasilimali watu kutoka Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), Eliezer Mwasele, akishuka kutoka ndani ya ndege mara baada ya ndege ya Air Tanzania kutua wakati wa uzinduzi wa safari za kwenda Bujumbura- Burundi. Nyuma yake ni aliekuwa Balozi wa Tanzania Burundi, Francis Mndolwa.…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SLAmI4AbY1w/Xq_19CYzFfI/AAAAAAALpBA/Qkel64Ft8RMPEsoipqA2K_Zmpn1SPsp7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0029%25281%2529.jpg)
PRECISION AIR YAZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA MIZIGO KWENDA COMORO
Safari hizo zimeanza rasmi siku ya Jumamosi kutokana na mabadiliko katika soko na nchi nyingi kufunga mipaka yao.
Akitoa taarifa hiyo, Meneja Masoko na Mawasiliano amesema wamebadilisha moja ya ndege zao aina ya ATR72-500 kuwa ndege ya mizigo, na safari ya kwanza ilikuwa ni siku ya...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Precision Air yarudisha safari za Kigoma
SHIRIKA la ndege la Precision Air (PW) limetangaza kuanza safari mkoani Kigoma kuanzia Julai 16 mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Sauda Rajab, alisema ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fQhxV470S6A/VH59jK81iJI/AAAAAAAG04A/ZgudNHXifZU/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Air Seychelles yazindua safari za ndege Mahe - Dar es Salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-fQhxV470S6A/VH59jK81iJI/AAAAAAAG04A/ZgudNHXifZU/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
Ujio wa shirika hilo la ndege unafanya mashirika ya ndege yaliyoanzisha safari zake kuja Dar es Salaam kwa siku za hivi karibuni kufikia matatu, Air Seychelles, Flydubai ya Umoja...
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Kenya Airways yarudisha safari za S.Leone
11 years ago
Mwananchi11 Jul
UWEKEZAJI: Tanzania yaomba safari za ndege za BA zirejeshwe
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Shirika la ndege la flydubai wazindua safari zao nchini Tanzania
Makamu wa Rais mwandamizi katika shughuli za kibiashara wa shirika la ndege la FlyDubai, Bwa.Sudhir Sreedharan akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali jana kwenye uwanja wa kimataifa wa Jk Nyerere Kwenye Uzinduzi wa Shirika jipya la ndege la Fly Dubai.
Shirika Jipya la Ndege la Fly Dubai Jana Wamezindua safari zao nchini kwa gharama za bei nafuu,pia ndege hiyo itakuwa ikiruka moja kwa moja pia kutokea Zanzibar kwenda Dubai
Balozi mdogo wa Tanzania nchini Dubai Mh. Omar Mjenga...
10 years ago
VijimamboSHIRIKA LA NDEGE LA FLY DUBAI WAZINDUA SAFARI ZAO NCHINI TANZANIA
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya corona: Tanzania kufufua safari za ndege za abiria na watalii, je imejipanga vipi?
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)