Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UWEKEZAJI: Tanzania yaomba safari za ndege za BA zirejeshwe

>Tanzania imeiomba Serikali ya Uingereza kulirudisha Shirika la Ndege la British Airways (BA) ili lianze tena safari zake hapa nchini kusaidia kukuza biashara na utalii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AIR TANZANIA YARUDISHA SAFARI ZA NDEGE ZA KWENDA BURUNDI

Meneja Rasilimali watu kutoka Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), Eliezer Mwasele, akishuka kutoka ndani ya ndege mara baada ya ndege ya Air Tanzania kutua wakati wa uzinduzi wa safari za kwenda Bujumbura- Burundi. Nyuma yake ni aliekuwa Balozi wa Tanzania Burundi, Francis Mndolwa.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la flydubai wazindua safari zao nchini Tanzania

Makamu wa Rais mwandamizi katika shughuli za kibiashara wa shirika la ndege la FlyDubai, Bwa.Sudhir Sreedharan akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali jana kwenye uwanja wa kimataifa wa Jk Nyerere Kwenye Uzinduzi wa Shirika jipya la ndege la Fly Dubai.

Shirika Jipya la Ndege la Fly Dubai Jana Wamezindua safari zao nchini kwa gharama za bei nafuu,pia ndege hiyo itakuwa ikiruka moja kwa moja pia kutokea Zanzibar kwenda Dubai

Balozi mdogo wa Tanzania nchini Dubai Mh. Omar Mjenga...

 

10 years ago

Vijimambo

SHIRIKA LA NDEGE LA FLY DUBAI WAZINDUA SAFARI ZAO NCHINI TANZANIA

Makamu wa Rais mwandamizi katika shughuli za kibiashara wa shirika la ndege la FlyDubai ,Bwa.Sudhir Sreedharan akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali jana kwenye uwanja wa kimataifa wa Jk Nyerere Kwenye Uzinduzi wa Shirika jipya la ndege la Fly Dubai.Shirika Jipya la Ndege la Fly Dubai Jana Wamezindua safari zao nchini kwa gharama za bei nafuu,pia ndege hiyo itakuwa ikiruka moja kwa moja pia kutokea Zanzibar kwenda DubaiBalozi mdogo wa Tanzania Nchini Dubai Mh Omar Mjenga akitoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia yaomba data na rada ya ndege

Serikali ya Malaysia yaomba kupewa rada zaidi pamoja na data ya satelite ya ndege iliopotea.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Tanzania kufufua safari za ndege za abiria na watalii, je imejipanga vipi?

Tanzania litakuwa taifa la kwanza barani Afrika kuruhusu ndege za watalii na abiria wengine kutua nchini humo. Lakini je watalii wanaotegemewa kwenda Tanzania watatoka wapi?

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka, akiteta jambo na Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu(United Arab Emirate) nchini Tanzania, Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, kabla ya Uzinduzi wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana. Magari ya Zimamoto yakimwaga maji kuashiria uzinduzi na ukaribisho wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la Fastjet laanzisha safari mpya kati ya Dar es Salaam Tanzania na Entebbe, Uganda

CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE
Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege  Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe.

JEAN-UKU,-COMMERCIAL-MANAGER-AKIONGEA-NA-ABIRIA-WANAOSUBIRI-KUELEKEA-ENTEBBE

Meneja wa biashara wa Shirika la Ndege la Fastjet, Jean Uku, akiongea na wateja wa Fastjet kabla ya kuzindua rasmi safari hiyo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar.

KUSHOTO-JEAN-UKU-COMMERCIAL-MANAGER-NA-KULIA-JIMMY-KIBATI-GENERAL-MANAGER-AKIZINDUA-SAFARI-YA-KWANZA-YA-ENTEBBE

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet nchini, Jimy Kibati na  Meneja wa biashara wa Fastjet, Jean Uku, wakizindua rasmi safari za kwenda Entebe kutokea Dar es  salaam.

MOREEN-AKIMKARIBISHA-SANJAVAN-SCHALLWILYE

Mhudumu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE , UGANDA

 Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege  Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe Jean Uku Commercial Manager akiwa anaongea na wateja wa Fastjet Kushoto ni Jean Uku Commercial Manager wa Fastjet na Jimy Kibati General Manager wa Fastjet wakizindua Rasmi safari za Kwenda Entebe kutokea Dar es  salaam Wageni wakikaribishwa katika Ndege ya Fastjet kutokea Dar kwenda EntebeTimu nzima ya Fastjet Baada ya sherehe fupi za uzinduzi huo
Ndege kati ya miji hii mikuu miwili zitaruka siku za...

 

10 years ago

GPL

SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE, UGANDA‏

Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani