Wagombea 6 wa urais nchini Burundi waidhinishwa, 4 watemwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-wGupZUehf98/XmlOvRMFYJI/AAAAAAALisk/Vxkekv-IIckFMYe_TSnNGYjCJooD3xUQACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv5a8b37a9a4f1l346_800C450.jpg)
Tume ya Uchaguzi nchini Burundi (CENI) imeidhinisha majina ya wagombea sita wa uchaguzi wa urais unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.
Miongoni mwa wagombea walioidhinishwa na CENI ni Jenerali Evariste Ndayishimiye, Katibu Mkuu wa chama tawala cha CNDD-FDD na kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha National Congress for Liberty (CNL) Agathon Rwasa; wawili hao wanatazamiwa kuchuana vikali kwenye uchaguzi huo.
Hata hivyo CENI imetupilia mbali faili la aliyekuwa rais wa Burundi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pz8UJaQQwOM/VdeLDW9uD8I/AAAAAAABUM4/rnYNdbGZhZ4/s72-c/Nembo-ya-Tume-ya-Uchaguzi-Tanzania.jpg)
WAGOMBEA NANE WAIDHINISHWA NA TUME YA UCHAGUZI KUGOMBEA NAFASI YA URAIS NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-pz8UJaQQwOM/VdeLDW9uD8I/AAAAAAABUM4/rnYNdbGZhZ4/s640/Nembo-ya-Tume-ya-Uchaguzi-Tanzania.jpg)
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Bocco, Moris watemwa safari ya Burundi
![Timu ya Taifa, Taifa Stars](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/taifa-stars.jpg)
Timu ya Taifa, Taifa Stars
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kimeondoka leo alfajiri kuelekea mjini Bujumbura, kwa ajili ya kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyo katika Kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) dhidi ya Burundi, huku wachezaji sita wakitemwa katika safari hiyo.
Wachezaji hao waliotemwa katika msafara huo kwa ajili ya mechi itakayochezwa Jumapili mjini humo, ni John Bocco, Aggrey Morris, Mwagane Yeya, Edward...
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Uchaguzi wa urais nchini Burundi
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9E8SPfpYK50/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili25 May
Mgombea wa chama tawala nchini Burundi ashinda urais
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0mt2CdoaHvHTb0pVSrIe0Z09f-zP98fgFbGoE43efJUivyI5orBD4wDw*Y7neXaxWm58YI78X2EjyrHrlQmq3f/BUJUMBURA.jpg?width=650)
VURUGU ZAZUKA NCHINI BURUNDI BAADA YA RAIS NKURUNZIZA KUTEULIWA KUGOMBEA TENA URAIS
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s72-c/ndayish.jpg)
CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s400/ndayish.jpg)
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.
Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Ndoto za wagombea urais
9 years ago
Habarileo20 Aug
Wagombea urais wapewa somo
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Tanzania Farmers (AFP), Said Soud amewataka wagombea wenzake wa nafasi hiyo kuweka mbele uzalendo na si tamaa na ubinafsi wa madaraka.