WAGOMBEA NANE WAIDHINISHWA NA TUME YA UCHAGUZI KUGOMBEA NAFASI YA URAIS NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-pz8UJaQQwOM/VdeLDW9uD8I/AAAAAAABUM4/rnYNdbGZhZ4/s72-c/Nembo-ya-Tume-ya-Uchaguzi-Tanzania.jpg)
Vyama vilivyoshindwa kukidhi vigezo ni CCK, TADEA, DP na AFP amabyo imeingia mitini ambapo akizungumza na waandishi wa habari nje ya ofisi za tume baada ya tume kuwatangazia kushindwa kukidhi vigezo mwenyekiti wa CCK Bw Costantine Akitanda amesema.Wagombea urais waliowahi mapema asubuhi ni Mh Edward Lowassa Chadema na Dk Jonh Magufuli wa CCM ambapo kwa nyakati tofauti waliowasili ofisi hizo za tume wakiwa na wapambe wao wachache na mara baada ya kuidhinishwa na mwenyekiti wa tume ya taifa ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wGupZUehf98/XmlOvRMFYJI/AAAAAAALisk/Vxkekv-IIckFMYe_TSnNGYjCJooD3xUQACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv5a8b37a9a4f1l346_800C450.jpg)
Wagombea 6 wa urais nchini Burundi waidhinishwa, 4 watemwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-wGupZUehf98/XmlOvRMFYJI/AAAAAAALisk/Vxkekv-IIckFMYe_TSnNGYjCJooD3xUQACLcBGAsYHQ/s640/4bv5a8b37a9a4f1l346_800C450.jpg)
Miongoni mwa wagombea walioidhinishwa na CENI ni Jenerali Evariste Ndayishimiye, Katibu Mkuu wa chama tawala cha CNDD-FDD na kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha National Congress for Liberty (CNL) Agathon Rwasa; wawili hao wanatazamiwa kuchuana vikali kwenye uchaguzi huo.
Hata hivyo CENI imetupilia mbali faili la aliyekuwa rais wa Burundi...
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-d1XH7GPxqiI/VjDlviD4ggI/AAAAAAAADlQ/YbvFXb9UGBc/s72-c/UKONGA.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/u-8Cq3szLXM/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Oct
CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]
The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
GPL27 Oct
10 years ago
MichuziDK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS
10 years ago
GPLDK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Wagombea Zanzibar washukuru maandalizi mazuri tume ya uchaguzi NEC na ZEC
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akifanya mahojiano na waandishi wa habari baada ya kipiga kura leo katika kituo cha Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Na Mwandishi wetu, Pemba
MAMIA ya wananchi wa visiwa vya Zanzibar wamejitokeza kwa wingi katika zoezi la upigaji wa kura kwa nafasi tano za Urais wa jamhuri wa muungano, Urais wa Zanzibar, Ubunge,...