Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAGOMBEA NANE WAIDHINISHWA NA TUME YA UCHAGUZI KUGOMBEA NAFASI YA URAIS NCHINI.

Vyama vilivyoshindwa kukidhi vigezo ni CCK, TADEA, DP na AFP amabyo imeingia mitini ambapo akizungumza na waandishi wa habari nje ya ofisi za tume baada ya tume kuwatangazia kushindwa kukidhi vigezo mwenyekiti wa CCK Bw Costantine Akitanda amesema.Wagombea urais waliowahi mapema asubuhi ni Mh Edward Lowassa Chadema na Dk Jonh Magufuli wa CCM ambapo kwa nyakati tofauti waliowasili ofisi hizo za tume wakiwa na wapambe wao wachache na mara baada ya kuidhinishwa na mwenyekiti wa tume ya taifa ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Wagombea 6 wa urais nchini Burundi waidhinishwa, 4 watemwa

Tume ya Uchaguzi nchini Burundi (CENI) imeidhinisha majina ya wagombea sita wa uchaguzi wa urais unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.

Miongoni mwa wagombea walioidhinishwa na CENI ni Jenerali Evariste Ndayishimiye, Katibu Mkuu wa chama tawala cha CNDD-FDD na kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha National Congress for Liberty (CNL) Agathon Rwasa; wawili hao wanatazamiwa kuchuana vikali kwenye uchaguzi huo.

Hata hivyo CENI imetupilia mbali faili la aliyekuwa rais wa Burundi...

 

9 years ago

Vijimambo

Mgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.

Mgombea Urais wa ACT Mhe Khamis Iddi Lila akiwasili katika viwanja vya Afisi ya Tume ya Uchaguzi ziliko katika hoteli ya Bwawani Zanzibar kwa ajili ya kurejesha famu yake ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT. Mgombea Urais kupitia Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila akiwa na mkoba wake wa fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar akishindikizwa na Viongozi wa Chama hicho wakiwasili katika Afisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC bwawani Zanzibar. Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]

The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

DK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS

 Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk. Mwale Malecela  pichani kabla ya kuingia  katika chumba cha habari katika Redio ya Mwambao iliyopo Tanga eneo la Kange ndani ya Kiwanda cha Tanga Fresh ambaye ni mtoto wa Makamu wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM. Dk. Mwale katika maisha yake mengi kwa zaidi ya miaka20 amekua mtumishu katika Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya...

 

10 years ago

GPL

DK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS‏

 Dk. Mwale Malecela akizungumza na wananchi kupitia kituo cha Mwambao Radio.
 Dk. Mwale Malecela (kulia) akizungumza na wananchi kupitia kituo cha Mwambao Radio lilichopo Tanga eneo la Kange ndani ya Kiwanda cha Tanga Freshi, kushoto ni mtangazaji wa zam Jonas Msangi.  Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk. Mwale Malecela  pichani kabla ya kuingia  katika… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wagombea Zanzibar washukuru maandalizi mazuri tume ya uchaguzi NEC na ZEC

unnamed (68)

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akifanya mahojiano na waandishi wa habari baada ya kipiga kura leo katika kituo cha Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Na Mwandishi wetu, Pemba

MAMIA ya wananchi wa visiwa vya Zanzibar wamejitokeza kwa wingi katika zoezi la upigaji wa kura kwa nafasi tano za Urais wa jamhuri wa muungano, Urais wa Zanzibar, Ubunge,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani