Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Joe Biden alazimika kuomba radhi

Makamu wa Rais wa Marekani, Joe Biden,amewaomba radhi maafisa wakuu wa Milki za kiarabu baada ya kudai wanaunga mkono wapiganaji Syria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani :Joe Biden anaweza kumuondoa Trump madarakani?

Joe Biden aliyekuwa makamu rais wa Marekani sasa yupo katikati ya Donald Trump na miaka minne ijayo katika Ikulu ya Marekani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Usikubali kuomba radhi!

RAIS wangu sikubaliani na wote wanaokutaka uombe radhi kwa agizo lako uliloagiza! Uombe radhi kwa kosa lipi? Kusema "Acheni unyonge, uvumilivu una ukomo wake," si kauli ya kuomba radhi. Uombe...

 

10 years ago

GPL

FACEBOOK YALAZIMIKA KUOMBA RADHI

Wanaume na wanawake waliobadili jinsia yao au (transgender) kwa kusisitiza kuwa lazima watumie majina yao halisi kwenye kurasa sao za mtandao huo. Mtandao wa Facebook umewaomba radhi jamii ya wanaume na wanawake waliobadili jinsia yao au (transgender) kwa kusisitiza kuwa lazima watumie majina yao halisi kwenye kurasa sao za mtandao huo.
Kurasa nyingi za watu wa jamii hiyo zilianikwa au kufichuliwa na mtumiaji mmoja mwezi jana...

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEYMAR AANDIKA UJUMBE MREFU WA KUHUDHUNISHA KUOMBA RADHI

Neymar ambae hivi karibuni amepigwa panga la kukosa mechi nne kwenye Copa America baada ya kitendo cha utovu wa nidhamu alichofanya kwenye mechi.Licha ya kuwa nje ya uwanja lakini bado anaendelea kuwa supporter mkubwa wa timu yake kwa kukaa jukwaani akishangilia timu yake.
Sasa baada ya kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu kujutia kitendo alichokifanya lakini bado ametumia muda mrefu kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kwa lugh ya kireno jinsi gani anazidi kujutia nafasi...

 

9 years ago

StarTV

Mjane alazimika kulala nje siku tatu Arusha Kisha hiki hapa:

Mjane Agnes Paulo Makuru amelazimika kulala nje kwa siku ya tatu sasa na mali zake kutolewa nje, baada ya mahakama kutengua uamuzi wa awali uliomtaja kuwa mrithi halali wa Nyumba ya Marehemu mumewe katika maeneo ya Kona ya Mbauda na Mto wa mbu Arusha.

 Akiwa katika eneo la Kona Mbauda anapoendelea kulinda mali zake zilizotolewa nje, Agnes amesema kuwa walipata barua ya mahakama ikiwahamuru kukabidhi hati za nyumba mbili iliyoko  eneo la kona ya Mbauda pamoja na nyumba iliyoko Mto wa Mbu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Biden atangaza hatawania urais 2016

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kwamba hatasaka tiketi ya chama cha Democratic kuwania urais 2016.

 

5 years ago

BBC

Biden campaign plays down his South Africa 'arrest'

An official says he got separated at an airport in South Africa rather than actually being arrested.

 

10 years ago

Vijimambo

Lema avamiwa na ‘UVCCM’, gari yake lavyunjwa vioo; alazimika kufyatua risasi tatu hewani kujiokoa!

Gari la Godbless Lema lililovunjwa kioo huko Clock Tower, Arusha
Mbunge wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema amekubwa na tukio la aina yake maeneo ya Clock Tower Jijini hapa ambapo vijana wanaoaminika kuwa vijana “wafuasi wa UVCCM” walishamshambulia kwa mawe na kufanikiwa kuvunja kioo cha nyuma ubavuni cha gari la Mbunge huyo.

Tukio hilo la kustaajabisha na kutiasha katika swala la amani na usalama kipindi hiki cha kampeni za Serikali za mitaa lilitokea kwenye Sheli iliyopo mkabala na New Arusha...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA AZIDI KUPATA MAPOKEZI MAKUBWA KILA ANAKOKWENDA, SONGEA ALAZIMIKA KUKAA JUU YA PAA LA NYUMBA

WAZIRI Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa amesema hana shaka na swala la kukatwa jina lake katika vikao vya Chama cha Mapinduzi(CCM), kwani anaamini Chama chao kitatenda haki kwa kurudisha jina lake kuwa mgombea urais wa Tanzania.
Lowassa ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma katika ofisi kuu za CCM Mkoani humo, wakati akitoa shukrani baada ya kudhaminini na wanaCCM zaidi ya elfu 52.
"Nimekuwa mwanaCCM tangu mwaka 1977 nilipomaliza chuo kikuu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani