Mjane alazimika kulala nje siku tatu Arusha Kisha hiki hapa:
Mjane Agnes Paulo Makuru amelazimika kulala nje kwa siku ya tatu sasa na mali zake kutolewa nje, baada ya mahakama kutengua uamuzi wa awali uliomtaja kuwa mrithi halali wa Nyumba ya Marehemu mumewe katika maeneo ya Kona ya Mbauda na Mto wa mbu Arusha.
Akiwa katika eneo la Kona Mbauda anapoendelea kulinda mali zake zilizotolewa nje, Agnes amesema kuwa walipata barua ya mahakama ikiwahamuru kukabidhi hati za nyumba mbili iliyoko eneo la kona ya Mbauda pamoja na nyumba iliyoko Mto wa Mbu...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAMA MJANE ANA SIKU TATU HAJATOKA NJE AKIDAI KUTISHIWA KUUWAWA KISA ARDHI
10 years ago
Habarileo20 Sep
Marufuku kutoka nje siku tatu
SIERRA Leone jana ilianza siku tatu za kujifungia ndani kwa wananchi wote, ikiwa ni hatua ya kukabiliana na kusambaa kwa ugonjwa wa ebola.
10 years ago
VijimamboLema avamiwa na ‘UVCCM’, gari yake lavyunjwa vioo; alazimika kufyatua risasi tatu hewani kujiokoa!
Mbunge wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema amekubwa na tukio la aina yake maeneo ya Clock Tower Jijini hapa ambapo vijana wanaoaminika kuwa vijana “wafuasi wa UVCCM” walishamshambulia kwa mawe na kufanikiwa kuvunja kioo cha nyuma ubavuni cha gari la Mbunge huyo.
Tukio hilo la kustaajabisha na kutiasha katika swala la amani na usalama kipindi hiki cha kampeni za Serikali za mitaa lilitokea kwenye Sheli iliyopo mkabala na New Arusha...
11 years ago
MichuziMKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF WAENDELEA KWA SIKU YA TATU JIJINI ARUSHA LEO
10 years ago
MichuziMjane wa Rais wa Awamu ya TATU wa ZANZIBAR MAREHEMU Idrisa Abdulwakil Afariki Dunia, azikwa leo
11 years ago
Michuzi21 Mar
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe Alipompokea Binti Mfalme wa Sweden, Mtukufu Victoria Lugrid Alice Desiree mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu
Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Kilichowaangusha wasaliti hiki hapa
TAMAA ya madaraka na fedha, vimetajwa kama sababu kubwa zilizowasambaratisha wanasiasa wengi waliowahi kuvuma ndani ya vyama mbalimbali vya upinzani nchini tangu kurejea kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Unajua unapaswa kulala saa ngapi kwa siku?