Unajua unapaswa kulala saa ngapi kwa siku?
Shirika la Afya Duniani (WHO) linaielezea afya ya binadamu kuwa ni hali ya kustawi kimwili, kiakili na kijamii na siyo kukosa maradhi pekee.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Je wewe huoga mara ngapi kwa siku?
Wanawake wengi wamekiri kuwa huwa hawaogi mpaka kufikia siku tatu kwa kisingizio cha uchovu wa asubuhi ama jioni.
5 years ago
BBCSwahili21 May
Je, unanawa mikono yako mara ngapi kwa siku?
Kuosha mikono yako angalau marasita au kumi kwa siku kunaweza kukuepusha kupata maambukizi mengi ikiwemo corona
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Ni saa ngapi zimebakia kwenye mateso ya nishati?
Kila kukicha miongoni mwa kero kubwa ambayo imekuwa ikiumiza vichwa kwa Watanzania imekuwa ni umeme.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
10 years ago
Michuzi17 Jun
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s72-c/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s640/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku Watanzania wote...
10 years ago
MichuziCHID BENZ APATA DHAMANA BAADA YA KULALA GEREZANI SIKU MOJA
Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii
Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemwachia kwa dhamana Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya (bongo fleva), Rashidi Makwaro (29), maarufa kama Chid Benz, baada ya kutimiza masharti ya dhamana ya mahakaman hiyo.
Chid Benz, alifikishwa mahakamani hapo jana akikabiliwa na mashitaka matatu ikiwemo kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya Sh. 38,638, bangi ya Sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Hakimu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania