Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unajua unapaswa kulala saa ngapi kwa siku?

Shirika la Afya Duniani (WHO) linaielezea afya ya binadamu kuwa ni hali ya kustawi kimwili, kiakili na kijamii na siyo kukosa maradhi pekee.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je wewe huoga mara ngapi kwa siku?

Wanawake wengi wamekiri kuwa huwa hawaogi mpaka kufikia siku tatu kwa kisingizio cha uchovu wa asubuhi ama jioni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, unanawa mikono yako mara ngapi kwa siku?

Kuosha mikono yako angalau marasita au kumi kwa siku kunaweza kukuepusha kupata maambukizi mengi ikiwemo corona

 

11 years ago

Mwananchi

Ni saa ngapi zimebakia kwenye mateso ya nishati?

Kila kukicha miongoni mwa kero kubwa ambayo imekuwa ikiumiza vichwa kwa Watanzania imekuwa ni umeme.

 

9 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU


Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku  Watanzania wote...

 

10 years ago

Michuzi

CHID BENZ APATA DHAMANA BAADA YA KULALA GEREZANI SIKU MOJA


Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii

Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemwachia kwa dhamana Msanii  wa Muziki wa Kizazi Kipya (bongo fleva), Rashidi  Makwaro (29), maarufa kama Chid Benz, baada ya kutimiza masharti ya dhamana ya mahakaman hiyo.
Chid Benz, alifikishwa mahakamani hapo jana akikabiliwa na mashitaka matatu ikiwemo kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya Sh. 38,638, bangi ya Sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Hakimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani