Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je wewe huoga mara ngapi kwa siku?

Wanawake wengi wamekiri kuwa huwa hawaogi mpaka kufikia siku tatu kwa kisingizio cha uchovu wa asubuhi ama jioni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Je, unanawa mikono yako mara ngapi kwa siku?

Kuosha mikono yako angalau marasita au kumi kwa siku kunaweza kukuepusha kupata maambukizi mengi ikiwemo corona

 

10 years ago

Mwananchi

Unajua unapaswa kulala saa ngapi kwa siku?

Shirika la Afya Duniani (WHO) linaielezea afya ya binadamu kuwa ni hali ya kustawi kimwili, kiakili na kijamii na siyo kukosa maradhi pekee.

 

10 years ago

Mwananchi

Wema ulifikiri mara ngapi kabla ya kutenda?

Kama umeumbwa na moyo wa kibanadamu na ukapata nafasi ya kuona kile alichokiandika msanii maarufu, Wema Sepetu kuhusu suala lake la kutoweza kupata ujauzito basi ni wazi kwamba ulihuzunika sana.

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mshumaa katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama ishara ya Kumbukumbu wakati alipofika katika Jumba la makumbusho Butiama mkoani Mara leo Sept 15, 2015 baadda ya kuadhimisha Kilele cha Siku ya Mara (Mara Day) iliyofanyika Butiama.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Shada la Maua katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI UACHWE WEWE KILA SIKU?

Mungu ni mwema! Leo kama ada tunakutana mpenzi msomaji wangu wa Love & Life katika kilinge chetu hiki kwa lengo la kuelimishana na kukumbushana masuala ya mahusiano ambayo yametawala kwa kiasi kikubwa maisha yetu. Leo tutazungumzia kuhusu tatizo linaloonekana kukithiri na kuwatatiza watu wengi ambao wamejaribu kuingia kwenye uhusiano wa mapenzi na kujikuta wakiambulia maumivu ya kuachwa kila mara na watu waliowakabidhi mioyo yao...

 

10 years ago

Bongo5

Ninafanya mapenzi mara 500 kwa siku — Kim Kardashian

Kupitia promo ya msimu wa 10 wa kipindi cha TV cha ‘Keeping Up With the Kardashians’, Kim Kardashian ameshare habari nyeti kuhusiana na maisha ya mapenzi na mume wake Kanye West. Video hiyo inayorushwa kwenye kituo cha TV cha E!, Kardashian anasema: I’ve been having sex 500 times a day.” Kauli hiyo ilionesha kumshtua mdogo […]

 

10 years ago

Michuzi

JK APIGA TIZI MARA TATU KWA SIKU KUIMARISHA AFYA YAKE

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazoezi leo katika viwanja vya Ikulu kufuatia ushauri wa madaktari waliomtaka afanye hivyo mara tatu kwa siku ili kuendelea kuimarisha afya yake baada ya kufanyiwa upasuaji mwezi uliopita katika hospitali ya Johns Hopkins nchini Marekani. 
Picha na Ikulu

 

9 years ago

Vijimambo

MOTO WA MWIGULU NCHEMBA WATUA MKOA WA MARA,APIGA MAJIMBO 5 KWA SIKU.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza akimnadi Mgombea wa Jimbo la Bunda Vijini.Mwigulu akizungumza na wanaserengeti amewaomba"Naomba mmchague Magufuli kwasababu tunazo sababu nyingi za kuhakikisha anakuwa Rais wa Tanzania,Magufuli yeye rafiki yake ni Kazi tu,Hivyo wananchi wamchague Mgombea Urais mwenye kusimamia kazi na shughuli za Maendeleo.Wanaserengeti wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Chama cha Mapinduzi-Serengeti.
Hisia za Maandishi kwa Magufuli.Mwigulu Nchemba akisalimiana na
Wananchi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kinachosababisha rangi ya mkojo, kwenda haja ndogo mara kwa mara

Miongoni mwa maswali ya wasomaji wetu ni sababu za mtu kukojoa mkojo wenye rangi ya njano, kwenda haja ndogo mara kwa mara na hisia za maumivu wakati ukiwa na mkojo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani