Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWA NINI UACHWE WEWE KILA SIKU?

Mungu ni mwema! Leo kama ada tunakutana mpenzi msomaji wangu wa Love & Life katika kilinge chetu hiki kwa lengo la kuelimishana na kukumbushana masuala ya mahusiano ambayo yametawala kwa kiasi kikubwa maisha yetu. Leo tutazungumzia kuhusu tatizo linaloonekana kukithiri na kuwatatiza watu wengi ambao wamejaribu kuingia kwenye uhusiano wa mapenzi na kujikuta wakiambulia maumivu ya kuachwa kila mara na watu waliowakabidhi mioyo yao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

10 years ago

GPL

SHOGA, CHAKULA ULE WEWE KWA NINI UWAKERE WENZAKO?

Shoga zangu, leo nitazunguma nanyi ‘topiki’ inayohuwahusu wenzetu wanaoishi katika nyumba ambazo hazina silingibodi.Naamini hakuna mtu asiyejua maana ya silingibodi, kama wapo ambao nitakuwa nimewaacha hewani, namaanisha wenzetu wanaoishi kwenye nyumba ambazo darini hakujazibwa. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1GiCHTx

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda anatafuta utajiri kwa kuuza embe, wewe unafanya nini? — (1)

Siku hizi vijana wengi ambao wako tu mitaani bila shughuli wakidai kuwa hawana ajira.Hawa utawaona vijiweni ama wakizurura tu mitaani kuanzia asubuhi hadi jioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi

Kulingana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mtindo wa maisha umebadilika ikiwamo watu wengi kutumia usafiri wa magari hata kwa safari ya umbali mfupi

 

10 years ago

BBCSwahili

Je wewe huoga mara ngapi kwa siku?

Wanawake wengi wamekiri kuwa huwa hawaogi mpaka kufikia siku tatu kwa kisingizio cha uchovu wa asubuhi ama jioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa nini ujifanye unajua kila kitu?

BINADAMU tumeumbwa kwa kila mmoja wetu kuwa na uwezo wake binafsi tofauti na mwingine, kiakili, kifikra, kipesa na kiutendaji. Utofauti huu ndio unaotufanya tuendelee kuishi na kuheshimiana hapa duniani. Lakini...

 

11 years ago

Mwananchi

Wewe na mimi tunafanya nini kuendeleza elimu?

Uzoefu wangu wa kufuatilia masuala ya elimu unaonyesha aghlabu matatizo mengi katika sekta ya elimu yanatokana na Serikali kama mdau mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani