Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda anatafuta utajiri kwa kuuza embe, wewe unafanya nini? — (1)

Siku hizi vijana wengi ambao wako tu mitaani bila shughuli wakidai kuwa hawana ajira.Hawa utawaona vijiweni ama wakizurura tu mitaani kuanzia asubuhi hadi jioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania unafanya nini sakata la Tegeta Escrow?

Kwa mara nyingine tena, Serikali ya Tanzania imeingia doa mbele ya wananchi wake pamoja na wahisani wa maendeleo.

 

10 years ago

GPL

KWA NINI UACHWE WEWE KILA SIKU?

Mungu ni mwema! Leo kama ada tunakutana mpenzi msomaji wangu wa Love & Life katika kilinge chetu hiki kwa lengo la kuelimishana na kukumbushana masuala ya mahusiano ambayo yametawala kwa kiasi kikubwa maisha yetu. Leo tutazungumzia kuhusu tatizo linaloonekana kukithiri na kuwatatiza watu wengi ambao wamejaribu kuingia kwenye uhusiano wa mapenzi na kujikuta wakiambulia maumivu ya kuachwa kila mara na watu waliowakabidhi mioyo yao...

 

10 years ago

GPL

SHOGA, CHAKULA ULE WEWE KWA NINI UWAKERE WENZAKO?

Shoga zangu, leo nitazunguma nanyi ‘topiki’ inayohuwahusu wenzetu wanaoishi katika nyumba ambazo hazina silingibodi.Naamini hakuna mtu asiyejua maana ya silingibodi, kama wapo ambao nitakuwa nimewaacha hewani, namaanisha wenzetu wanaoishi kwenye nyumba ambazo darini hakujazibwa. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1GiCHTx

 

10 years ago

Michuzi

Viongozi acheni kuuza utajiri na kununua umasikini - Mh. Lowassa

 Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa amewanyooshea vidole viongozi wa kimila wa kabila la wamasai (malaigwanani),viongozi wa vijiji na wale wa CCM wilayani humo, kuwa wanalaumiwa kwa kushiriki katika uuzaji ardhi kinyume na sheria.
 Akifungua semina ya siku mbili ya juu ya maswala ya ardhi kwenye ukumbi wa hoteli ya Emanyata mjini Monduli,Mh. Lowassa amesema  shutuma hizo zimekuwa nyingi kwa viongozi hao kwa kuuza utajiri (ardhi) na kununua umasikini.
"Walikuja pale...

 

11 years ago

Mwananchi

Wewe na mimi tunafanya nini kuendeleza elimu?

Uzoefu wangu wa kufuatilia masuala ya elimu unaonyesha aghlabu matatizo mengi katika sekta ya elimu yanatokana na Serikali kama mdau mkuu.

 

10 years ago

GPL

WANAPENDANA, WEWE UNAWAFITISHA WAACHANE ILI UPATE NINI?

Namshukuru Mungu kwa kunifanya niione wiki hii nikiwa mzima wa afya huku nikiendelea vyema na shughuli zangu za kila siku kama kawaida. Natumaini nawe hujambo na uko tayari kukisoma kile nilichokuandalia. Hata hivyo, kabla ya kwenda kwenye mada ya leo, niwashukuru sana wasomaji wangu ambao wamekuwa wakinitumia sms na wakati mwingine kunipigia kunipongeza kwa yale ambayo nimekuwa nikiyaandika kupitia ukurasa huu. Namshukuru sana...

 

10 years ago

GPL

SITTI UMESHINDA, SAWA NINI KINAFUATA? HALAFU LUNDENGA NA WEWE!

KWAKO
Miss Sitti Mtemvu mwakilishi wa Wilaya ya Temeke na sasa wewe ni Redds Miss Tanzania 2014.
Vipi uko poa? Raha ya ushindi unaionaje? Najua sasa hivi bado hujatulia, unatafakari kwa makini juu ya shilingi milioni 18 ulizokabidhiwa kama mshindi, tafakari mama, ndiyo muda wake. Ukitaka kujua hali yangu, mimi ni mzima wa afya, namshukuru Mungu. Hongera kwa ushindi uliopata japo nimesikia kuna baadhi ya watu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda: Ruksa wakulima kuuza mahindi nje

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema ruksa kwa wakulima walio na mahindi kuuza nje ya nchi. Hatua hiyo imetokana na wakulima wengi kuzuiwa kuuza mahindi yao nje ya nchi huku wakiwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kwa kauli hii, Je, unafikiri mwanamuziki bella anatafuta KIKI au anamaanisha alichosema juu ya Zari?

Jana kupitia kwenye mtandao mmoja  wa kijamii mwanadada msanii wa bongo fleva, Bela fasta alipost picha {Hiyo hapo juu} yenye maneno ya kashfa kwa mwanadada Zari, picha iliyokuwa na maneno yanayosema kuwa mwanadada huyo mpenzi wa msanii Dimaond Platnumz “hana mvuto na wala ujauzito alio nao haumpendezi hata kidogo na kwamba mwili wake sio mzuri kushinda wa mwanadada wema sepetu” aliyekuwa mpenzi wa Diamond hapo kabla.

Kauli iliyomfanya mwanadada huyo kuwa gumzo leo kwenye mitandao ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani